Nani unamu-admire hapa JF?


Lizzy umeniibia sredi yangu.
Nimekuwa nikiwaza kuposti hii ila mmmmmh..........kazi ipo
 
Nawapwnda woote wanaonipenda,siwachukii wanaonichukia maana hawajui kwann wananchukia na wakijua kwann wananichukia watanipenda tu so daima itakuwa mapendo.
 
Nawapwnda woote wanaonipenda,siwachukii wanaonichukia maana hawajui kwann wananchukia na wakijua kwann wananichukia watanipenda tu so daima itakuwa mapendo.
siamini!it is human nature hata watoto wa tubo mmoja kuna wanaoivana zaidi.

Kukata mzizi wa fitina taja majina ya uwowaona namna gani vipi.

Personally I hate this girl Faiza foxy sijui hata kwa nini simkubali.
Pearl would u like to me?hate me now
 
Faizafoxy ananiboa.

Sikuwepo pls nani alinitaja kunichukia nianze kukaa mkao wa shari kila napokutana nae?
Hamna hata mmoja mwaya...wote tunakupendana kama mbu apendavyo damu!!!
 
sorry kwa kupora mawasiliano.
penda wewe kwa namna ulivyotetea uvaaji wa dada wa iringa stand.

ooh achante chana meryi tyina. mimi chipendji kabicha kuona wadada wakionewa. angekuwa mwanamume ndo kakatiza pale wala achingeguchwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…