Kama rank(vyeo) wako sawa TDPF,Polisi halafu magereza,uhamiaji na mwisho zima moto. Ila kama vyeo hawako sawa mkubwa anamsalimia mdogo kivyeo.
Rejea sherehe za kitaifa ambapo wakuu wote wa vyombo vya usalama( wakiwa na sare zao) anaanza kutoka mkuu wa majeshi ,halafu IGP, halafu mkuu wa magereza,mkuu wa uhamiaji na mwishoni mkuu wa zimamoto.
Ninaposema mkubwa anamsalimia mdogo ni sawa na kufikiria endapo kanali wa jeshi ametumwa kimemo kwa IGP nafikiri akifika lazima ampe salute IGP ndipo aseme alichotumwa.