1. My mom - Malezi aliyonipatia kwa ujumla...najitahidi na mimi niwapatie watoto wangu
2. Jennifer ( Alaska Tanzania ) kanifundisha kutokata tamaa pale unapohitaji kufanya kitu....kikubwa ni nia na uthubutu...alianza na mayai ila mpaka sasa ana bidhaa nyingi..mafuta, mchele n.k
3. Ruge -ni mtu ambae ukimfuatilia hukosi cha kujifunza kupitia yeye... kwenye fursa msimu wa kwanza nilipata idea ambayo ilinisaidia sana ....