Mom (raising the family).
Dad (kujali ndugu zake).
Julius Kambarage Nyerere (Leadership).
Hawa ni miongoni mwao (wapo wengi kulingana na muktadha wa jambo fulani.
Ashasahaulika Huyu Mutu Daaaah Ile Issue Ya Lugumi Ilimpa Umaarufu Kweli,
Nilishangaa Kumuona Kwenye Dala Dala, Mawasiliano Akiwa Na Bahasha Ya Khaki Sijui Ndio Kutafuta Kibarua Au La.
Japo Karl Marx alikufa masikini lakini aliacha fundisho hasa wanaoabudu vitu visivyoonekana. Kwa kuwa maisha yanamshinda mtu anaamua kuokoka ili aone ufalme wa Mungu. Huo ni uungwana??