Hapana,alishafariki upo sahihi.
Namuombea sana mzee wangu,japo hajawah kuiona senti yangu,alifariki 30 days baada ya kumaliza mitihani yangu ya elimu ya juu.
Mungu anuondolee adhabu ya KABURI
Hapana,alishafariki upo sahihi.
Namuombea sana mzee wangu,japo hajawah kuiona senti yangu,alifariki 30 days baada ya kumaliza mitihani yangu ya elimu ya juu.
Mungu anuondolee adhabu ya KABURI
Daaah! Nimejikuta Machozi Yananitoka Mkuu! Inauma Sana
Kwa Kijana Kukaza Kielimu Ili
Wazazi Wale Matunda Then Katika
Hatua Za Mwisho Unampoteza Mtu Muhimu Duniani Kama Baba.
All In All Hatuwezi Kurudisha Uhai
Focus Mbele Pia Umuenzi Kwa
Mambo Mema Aliyoyafanya Akiwa
Duniani Atafurahi Huko Alipo.