Yani mama salma atuletee rais walai watu wa membe mumechanganyikia,membe hana uwezo,mnafiki,anajipendkeza,ni product ya ikulu kwa maana hyo atakuwa dhaifu kuliko huyu aliyopo..2015 kwa wananchi rais ni lowasa au dr.slaa,ndani ya ccm ni lowasa au nchimbi..membe ni green snake hana impact.