Wakuu Salaam;
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia jinsi Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini Mh. January Makamba jinsi alivyokuwa na sauti ya kuwa msemaji mkuu wa wizara hiyo hasa katika mambo yahusuyo umeme. Yaani amekuwa na sauti hata kumshinda waziri mwenye dhamana na wizara hiyo Mh. William Ngeleja. Je kiutaratibu anachokifanya January ni sawa ama anavuka mipaka ya kazi yake? Au ni kuwa waziri wa wizara husika ha-perform ndiyo maana January anasikika sana?
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia jinsi Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini Mh. January Makamba jinsi alivyokuwa na sauti ya kuwa msemaji mkuu wa wizara hiyo hasa katika mambo yahusuyo umeme. Yaani amekuwa na sauti hata kumshinda waziri mwenye dhamana na wizara hiyo Mh. William Ngeleja. Je kiutaratibu anachokifanya January ni sawa ama anavuka mipaka ya kazi yake? Au ni kuwa waziri wa wizara husika ha-perform ndiyo maana January anasikika sana?