Kabisa. Viongozi tunaopata wala hata ubunifu hawana. Elimu zao ndio hivyoHmmm hili linchi!! ndio maana tunafeli miserably mpaka leo hii watu wanaishi kwenye nyumba za matope kwasababu hatuna akili!!
cc FaizaFoxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe Nyerere alikuwa akimwandaa Sokoine?Kwa hiyo mna zamu ngapi?zinaendaje?Toka Ben ,JK mpaka mchungaji Jiwe.inabid usaidiwe.
Uongozi wa nchi kikatiba hauna zamu kinachoangaliwa ni sifa za mhusika tu.ingekuwa hivyo Nyerere asingemwandaa sokoine,pili baada ya mkapa angekuwa mzanzibar .
Naunga hojahatuchagui kabila ndio maana kati ya makabila 136 nimesema msukuma ni mshamba sana, hatuwezi mpa nchi, hawa jamaa wameharibu mambo yaliyojengwa na nyerere, mwinyi na kikwete
Wewe hutaamini lakini subiri
Ni Dr shein atatinga tatu bora na hao wengine wawili
Hivi mbona mnatujazia server kwa nyuzi za kipuuzi? Bashite na zirooo yake hatakuwa rais wa wapi labda koromije iwe nchiUmofia kwenu wadau wa JF siasa.
Tetesi zipo japo mnaweza kubisha ila mtanikumbuka 2025, kuwa wagombea urais ndani ya CCM watakaotikisa ni Dr Medard Kalemani waziri wa Nishati, RC Makonda na Dr shein Rais wa sasa wa Zanzibar.
Habari za udaku kutoka ktk medani ya siasa nchini inamtaja Dr shein kuwa mtu mwenye sura ya upole lakini anayeweza kuhimili siasa za JMT kwani ni Makini na mkali mno tofauti tumuonavyo.
Waziri Dr Kalemani anatajwa kubebwa na sifa ya usambazaji umeme kwa vijiji vyote hadi kwenye tembe huku Tanzania ikiwa nchi ya kwanza Africa kutoa huduma hiyo kwa wananchi wake.
RC Dar Paul Makonda anatajwa kuwa ni mtu mbunifu ktk uongozi wa kutatua shida za watu na mtu mwenye uvumilivu zaidi ya hata Lowassa kutokana na kuhimili kejeli na matusi kutoka kwa watu wanaomchukia waliotapakaa kote nchini. Inadaiwa Dar ama Mzizima haijawahi na haitakaa impate RC kama huyu.
Chanzo changu nyeti serikalini kimenijuza Rais yupo hapo juu miongoni mwa watatu na nasubiri Uzi huu kufukuliwa November 2025.
Atagombea ila hatofika tatu bora
Kumbuka mchakato wa uchaguzi Magufuli ndiye Rais na Mwenyeketi wa Chama.Siku hizo Makonda atakuwa Raisi wa Wachafu mpinzani Mkuu wa Wasafi chini ya Diamond Platnums. Ukuta wa Jiwe unaomkinga utakuwa unalima mbaazi chattle.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri muda uongee na utanikumbuka
Dr. Hussein Mwinyi ndio president ajaye baada ya HE John Pombe Magufuli, sio udini lakini baada ya Magufuli anayefuata ni Muislamu. Nyerere, Mwinyi, Mkapa, kikwete, Magufuli, Mwinyi JrHuyu Rais wa Zanzibar mwakani
Unasema hivyo kwa kuwa huwapendi. Uliowataja huenda wakagombea lakini hawaingii 3 bora.Maoni ya hovyo kabisa.Hakuna hata mmoja kati ya unaowataja atafanikiwa. Possible candidates mimi naona ni Selemani Jaffo au Prof. Mbalawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu fafanua vizuriSiasa zinapigwa hesabu kwa masaa kadhaa tu mbeleni, sio siku nakuendelea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sali sana, ila jina moja hapo ndiye Rais ajayeMUNGU tuepushie yasitokee