nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Tangu kampeni zianze Igunga kwa ajili ya uchaguzi mdogo kumekuwa na kushutumiana kwa hapa na pale hasa vyama viwili vya CCM na CHADEMA kuhusu vurugu zinazotekea kila kukicha kila mtu akimtuhumu mwenzako kwamba ndo chanzo cha vurugu hizo.
Je ni nani mkweli kati ya hawa ?
(a) CCM
(b) CHADEMA
Je ni nani mkweli kati ya hawa ?
(a) CCM
(b) CHADEMA