Nani ni jasiri kama DED&RAS Kagera?

Nani ni jasiri kama DED&RAS Kagera?

Inawezekana hawa jamaa walihamisha fedha kwenda kwenye Bonus Account ili wajipatie cha juu faster..ndio michezo huko..
 
Acha hizo bana, ingekuwa hivyo basi mkuu wa mkoa angekuwa wa kwanza, maana yeye ndo alipokea mifuko, halafu nyinyi hui uvyama vyama utawapeleka wapi, Lowasa ni mtanzania waliopata shida ni watanzania kwann asitoe ? Acheni mambo yenu Tangulizeni Utanzania kwanza, wale ni ndugu zetu wanahitaji msaada, hata ww peleka..
 
Siku hizi watu wanataka ushahidi lakini enzi za JK alipokuwa akisema hachukui hatua kwakuwa hakuna ushahidi watu walimwita lege lege.
Kweli kuongoza wa tanzania ni kazi kweli kweli maana hawajui kipi wanataka.
uaongelea watanzania wa kipindi kipi? Hiki au cha kikwete?
 

Mwana mbona unasema heeee. Huyu niliyemjibu anawalaumu waliofukuzwa, esikia kauli yao? Wanawza wakawa na maelezo ya haki huwezi kujua. Tusiwahukumu siisi tyli nje maana hatujawasikiliza. Labda Mkuu amewasikiliza na kuona wanahatia, lkn sisi hatujui. Tusiwahukumu.
Sisi tunaopitia hukumu za mahakama, hukumu nyingi zinatenguliwa court of appeal kwa kuwa na mapungufu makubwa.
 
duu wapiga dili nchi hii ni wengi sana na walishazoea, utasikia mara mwenyekiti kajifanya nyoka na kapiga dili, mara wamefungua akaunti feki za ze international disastor na wamepiga dili, au zile rangi zinawafanya wajiamini sana lakini Mungu anawaona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom