babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Na hasa baada ya kile chama cha wachaga kugeuka watetezi wa wapiga dili imekuwa tabu tupuSiku hizi watu wanataka ushahidi lakini enzi za JK alipokuwa akisema hachukui hatua kwakuwa hakuna ushahidi watu walimwita lege lege.
Kweli kuongoza wa tanzania ni kazi kweli kweli maana hawajui kipi wanataka.