Nani ni jasiri kama DED&RAS Kagera?

Nani ni jasiri kama DED&RAS Kagera?

mlekulechoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
1,366
Reaction score
1,059
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa Kagera....

Then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo;

1.Kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaani anaweza mkaba roba simba dume kavukavu.
2.Tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
 
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa kagera....then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maaalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo
1.kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaan anaweza mkaba roba simba dume kavukavu
2.tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
Acha utoto na uccm, umewasikiliza? Unasikiliza upande mmoja unahukumu, nonsense!
 
Mijitu mingine bwana kazi ushabiki tu hivi unauhakika subiri uchunguzi ufanyike,ndiyo maana mkuu mwenyewe kasema vyombo vya ulinzi vichunguze,sasa wewe pelelepelele
 
Hapo matumizi ya serikali yataongezeka, waliosimamishwa wataendelea kulipwa na wataoteuliwa watalipwa. Only in TZ!
 
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa kagera....then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maaalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo
1.kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaan anaweza mkaba roba simba dume kavukavu
2.tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi



weka ushahid kama kweli walitaka kupiga pesa mana sio kila jipu linatumbuliwa kiuhalali kuna mengine ya kukurupuka mana mkulu nae sio wa kumuamini saa zingine ni mtu wa kiki kirikiki kiki kirikiki
 
weka ushahid kama kweli walitaka kupiga pesa mana sio kila jipu linatumbuliwa kiuhalali kuna mengine ya kukurupuka mana mkulu nae sio wa kumuamini saa zingine ni mtu wa kiki kirikiki kiki kirikiki




kiki kirikiki kiki kirikiki HILI NDO NENO GANI UMETUMIA? Kama ni tusi tutajuaje!
 
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa kagera....then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maaalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo
1.kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaan anaweza mkaba roba simba dume kavukavu
2.tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
Hao ndio wale 'Inzi hufia kidondani'
 
Mijitu mingine bwana kazi ushabiki tu hivi unauhakika subiri uchunguzi ufanyike,ndiyo maana mkuu mwenyewe kasema vyombo vya ulinzi vichunguze,sasa wewe pelelepelele
Unataka kutuaminisha kwamba maamuzi yamefanyika bila data za kutosha?
 
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa kagera....then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maaalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo
1.kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaan anaweza mkaba roba simba dume kavukavu
2.tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
Wacha wanyolewe tu walizoea kutuumizaa hawa watu, kufa kufaana
 
Siku hizi watu wanataka ushahidi lakini enzi za JK alipokuwa akisema hachukui hatua kwakuwa hakuna ushahidi watu walimwita lege lege.
Kweli kuongoza wa tanzania ni kazi kweli kweli maana hawajui kipi wanataka.
Hajasikia chui kwenye ngozi ya kondoo?

Hujasikia habari za manabii wa uongo?

Usimeze kila kitu, fanya homework yako, kama enzi walikuwa hawahoji hiyo haikuwa sheria na kosa moja halihalalishi kosa
 
Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa kagera....then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maaalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo
1.kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaan anaweza mkaba roba simba dume kavukavu
2.tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi

Unafahamu Muingereza kasema nini kabla ya kutoa zile bilioni 6.3 za kukarabati shule za Ihungo na Nyakato?

Serikali ya awamu ya 5 haikukuta hata senti kwenye mfumo wa maafa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom