Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
Ndoa ni jambo lilioko kwenye jamii Kwa miaka mingi sana. Wataaalam wa mambo ya jamii husema kuwa ndoa ndiyo taasisi Kongwe zaidi duniani.
Lakini kati ya jamii na jamii Kuna utofauti wa kimtizamo wa kati ya nani na nani wanafaa/hawafai kuoana.
Makabila mengine binamu na binamu huoana, lakini kwa wengine hawaoni.
Kuna makabila watoto wa baba mkubwa na mdogo huoana lakini kwa wengine haiwezekani.
Kwa kufuata kanuni Fulani Fulani ambazo ni za kale Sana, mifumo ya kuoana imetengenezwa kuzuia au kuruhusu watu kuoana na kutooana.
Jee unadhani Kwa mtazamo wako nani unaona wanafaa/kuoana au hafai kuoana na sababu zako ni zipi?
Dada/ kaka wa Kambo wanafaa kuoana?
Mtoto na mzazi wa Kambo wanafaa kuoana?
Kuoana na mtoto wa dada yako inawezekana?
Kuoa shangazi/ mama mdogo ni sawa?
Kuoa bibi au kuolewa na Babu inawezekana?
Lakini kati ya jamii na jamii Kuna utofauti wa kimtizamo wa kati ya nani na nani wanafaa/hawafai kuoana.
Makabila mengine binamu na binamu huoana, lakini kwa wengine hawaoni.
Kuna makabila watoto wa baba mkubwa na mdogo huoana lakini kwa wengine haiwezekani.
Kwa kufuata kanuni Fulani Fulani ambazo ni za kale Sana, mifumo ya kuoana imetengenezwa kuzuia au kuruhusu watu kuoana na kutooana.
Jee unadhani Kwa mtazamo wako nani unaona wanafaa/kuoana au hafai kuoana na sababu zako ni zipi?
Dada/ kaka wa Kambo wanafaa kuoana?
Mtoto na mzazi wa Kambo wanafaa kuoana?
Kuoana na mtoto wa dada yako inawezekana?
Kuoa shangazi/ mama mdogo ni sawa?
Kuoa bibi au kuolewa na Babu inawezekana?