Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Tangu nimalize kadiploma kangu pale chou cha diplomasia huwa najikuta nikifuatilia hadhi na matanuzi ya wakuu wa nchi yetu. Jambo moja linalonipa swali ni kuhusu hawa wazito wawili ambao nina mazoa ya kuwa karibu na ofisi zao; mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi. Mara nyingi sana namuona mkuu wa majeshi anaingia kazini na kutoka akiwa na king'ora cha polisi lakini si kwa waziri wa ulinzi. Ndio maana nauliza wanaJF wajuao protokali, nani mzito kati ya hawa?