Nawaza Kwa vina na uwelewa wangu katika uchumi kila nikiangalia kesho nasikia machozi na sikia huzuni najuwa ma million ya watanzania wasio na elimu ya uchumi hawajuwi nini kitatukumbuka na kuliacha Taifa na vilio visivyo na sababu. Yes nasema visivyo na sababu maana kulikuwa na shida gani kusikilizana na kukubaliana vipaumbele vyetu na kuliepusha Taifa katika mtanziko huu.
Ndugu zangu napita kila mahali Mjini na vijijini watu wanalia na ili sote kukisikia vizuri kilio hiki nenda sokon wakati wa jion, temebelea taasisi za fedha uwone hali ilivyo Kuwa hali.
Tanzania tuna import zaidi kuliko ku export na katika hali kama hiyo lazima tuwe na hazina ndogo ya Fx. Sasa nawaza Sana nasipati majibu je nakishi kubwa ya Fx tuna pata wapi kuwezesha hizi megar projects?
Uchumi unajengwa na principal ya demand and supply Yani hii principal huwa haidanganyi hata ukifanya vipi huwa ina kuumbuwa. Unaweza punguza.
Ndugu zangu napita kila mahali Mjini na vijijini watu wanalia na ili sote kukisikia vizuri kilio hiki nenda sokon wakati wa jion, temebelea taasisi za fedha uwone hali ilivyo Kuwa hali.
Tanzania tuna import zaidi kuliko ku export na katika hali kama hiyo lazima tuwe na hazina ndogo ya Fx. Sasa nawaza Sana nasipati majibu je nakishi kubwa ya Fx tuna pata wapi kuwezesha hizi megar projects?
Uchumi unajengwa na principal ya demand and supply Yani hii principal huwa haidanganyi hata ukifanya vipi huwa ina kuumbuwa. Unaweza punguza.