Nani mwenye kosa, mwalimu au mwanafunzi?

Nani mwenye kosa, mwalimu au mwanafunzi?

Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu amefukuzwa shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje?

Mwalimu huyo aliposhindwa kujibu swali hilo alihamaki, akamcharaza mtoto huyo
bakora sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali mwilini
mwake na akahitimisha kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya
utovu wa nidhamu na kutumiwa kama kibaraka wa maadui wa mwalimu huyo.
Je ni kweli kwamba anayo hayo mamlaka ya kufukuza yeye pekee?
Itapendeza pia na wewe muanzisha uzi ukatuwekea hiyo barua ya kufukuzwa shule kama chanzo cha hbr hii.isije ikawa na habari za vijiweni zilizo ongezwa chumvi
 
Ebanah! Unanikumbusha enzi za tambaza kuna ticha wa french alikuwa hapendi dharau kabisa ukiuliza kitu umetoa mtaani haki ya mungu unapasuka.
Kuna mshkaji alikuwa jioni kisomo anachukua maneno mtaani anakuja kuuliza class. Wahuni wakamchomekea kamuulize ticha wako est caise anglais! Baba ticha alimuwashia moto hatare sie tulikamata swali tu wala hatukujua nini.
Baadae sana ndio kutujua! What is english? Ticha aliona swali la kiboya saana, jamaa hakurudia tena.
Sasa huyu kuulizwa dagaa saa ingine mbele za watu akamind inawezekana.
 
Ebanah! Unanikumbusha enzi za tambaza kuna ticha wa french alikuwa hapendi dharau kabisa ukiuliza kitu umetoa mtaani haki ya mungu unapasuka.
Kuna mshkaji alikuwa jioni kisomo anachukua maneno mtaani anakuja kuuliza class. Wahuni wakamchomekea kamuulize ticha wako est caise anglais! Baba ticha alimuwashia moto hatare sie tulikamata swali tu wala hatukujua nini.
Baadae sana ndio kutujua! What is english? Ticha aliona swali la kiboya saana, jamaa hakurudia tena.
Sasa huyu kuulizwa dagaa saa ingine mbele za watu akamind inawezekana.
Hataki kazi
 
Wewe mleta mada ndiye hujui ila umetumia mbinu kujua dagaa anaitwaje, anyway wamekujibu ...enjoy now!
 
Back
Top Bottom