Vinci Dayot Upamecano
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 524
- 1,278
Bungeni sijui Katani mtachukua sana viti, Hilo sikatai, sio sikatai tu na sishangai. Lakini Namba moja sio tasa sio shufwa. Atakaye chukua bado atatusagia kunguni.
Mzee hao ndio ma injinia wa chama. Yan hao hawaguswi kabsa watakula mpka mwsho wa uhai wao hapa dunianiDuuuh bora hata wampe Pierre Konki Liquid kuliko hao Mafisadi.
Huyu aliyeiba uchaguzi wa jimboni kwake na kujitangaza kapita bila kupigwa.Hii Nchi Apewe Majaliwa Kassim Majaliwa tutafika nchi ya ahadi pasina shaka kabsa. Pole pole yuko vzuri ila bado nyoka
AhhhahhhHuyu aliyeiba uchaguzi wa jimboni kwake na kujitangaza kapita bila kupigwa.
Hao wengine labda wapewe Timu za kusimamia kasoro Mzee Majaliwa huyu anafaa kuwa kiongozi wa Tanzania.Kuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Mmmmh mbna kama Ni mlamba asali tu naeVipi kuhusu Katelefoni?
Mpe mafuta akupake mgongo wako huyo falaaNimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde
Kbsaa eti katelephone Yuko vzrHii Nchi Apewe Majaliwa Kassim Majaliwa tutafika nchi ya ahadi pasina shaka kabsa. Pole pole yuko vzuri ila bado nyoka
Vyovyote vileApewe au Achaguliwe?
Nani Sasa Kaka huyo ambae Ana kaliba ya kimagufuli tumpeCcm watolewe wote, waangaliwe wa upinzani au wasio na chama.
Mmoja awe rais Kweli tutapiga hatua mnoKuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Offocoz Ni mtu POA na mfatiliaji Seema Hana nguvu ya kuamia nae analia Lia tuKatelefon sio muongo atakuwa anashinikizwa
Sasa Nani CCM atapewa Kisha abadili gia anganiHawezi penya mtu mwenye khaliba izo otherwise aingie then abadilike baada ya kutake power......
Yaan Magufuri na ujanja wote na uzalendo wake wote aliishiwa kuliwa kichwa na washenzi....
Kwangu...
MAGUFULI IS JUST LIKE A DOUBLE EDGED SWORD
Sahih kbsaa huyu bwana Ni mtamu waarabu wataikimbia hyo bandari wenyewe5. MWABUKUSI
Wew nape kuwa rais mungu wangu Bab wa mbinguniHawawezi kurudia kosa kama lile la jiwe 2015 . Kati ya Nchemba, Nape au Makamba mmoja lazma atimbe ikulu