..Unatutega au!!. Jibu unalo mwenyewe.Kati ya mwanamke na mwanaume nani mvumilivu ktk relationship..yupi anakuwa anacheat zaid?
SIjafanya research hivyo siruhusiwi kudanganya Umma kama Kikwete.Kati ya mwanamke na mwanaume nani mvumilivu ktk relationship..yupi anakuwa anacheat zaid?