nani muoga zaidi?

mkalagale

Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
71
Reaction score
8
baba mmoja alikuwa amekaa na familia yake akamwambia mtoto wake mdogo we muoga sana kwa nini unaogopa kulala peke yako chumbani mtoto akajibu nahisi hii tabia nimerithi kwako kwa sababu mama akisafirigi wewe pia unaogopaga kulala peke yako unamchukuaga dada(housegirl)na kulala naye
 
ndiyo tatizo la kusema uongo kwa watoto. kwani nao wanaiga na mbaya zaidi mpaka wanawapita waanzilishi!!!
 
Baba kalikoroga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…