Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Sarakasi ndani ya CCM bado zinaendelea. Majuzi tumemsikia Nape akisema kuwa kuna uasi ndani ya CCM. Siku moja baadae mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha akamuita Nape kuwa ni Muasi namba 1 katika CCM na baadae mwenyekiti wa UVCCM Arusha kusema Nape ni muasi na anakivuruga chama.
Kwa maoni yako, nani ni muasi ndani ya CCM? Ni wale wanaotuhumiwa kwa ufisadi ama kufadhiliwa na wanaoitwa mafisadi na bado ni watiifu kwa CCM au ni wale walioanzisha chama cha siasa ilhali bado ni wanachama wa CCM?
TAFAKARI
Kwa maoni yako, nani ni muasi ndani ya CCM? Ni wale wanaotuhumiwa kwa ufisadi ama kufadhiliwa na wanaoitwa mafisadi na bado ni watiifu kwa CCM au ni wale walioanzisha chama cha siasa ilhali bado ni wanachama wa CCM?
TAFAKARI