Nani msaliti?

Nani msaliti?

Duh, ngoja kwanza nikaoge halafu nitaisoma hii kitu nikiwa ndani ya neti. Dah pole kaka, ingawa sijui ulichoandika. Narudi.
 
ehh wewe kutendwa na ivo vinguchiro vyako ndo useme wanawake wooote koma babu

na mimi niliyetendwa na mwanaume basi niseme wanaume wooote paka2?

si wanawake wote wabaya
si wanaume wote wabaya

akuna haja ya kujumlisha jinsia na kuijaji kwa ujumla wake.

byeeee.....
 
Ila wanawake hamueleki kabisa nimeshasalitiwa live bila chenga yaani ile unaona anascreem kabisa.sasa hv nimekuwa sugu sana nina mpango mkakati kwa sababu mwanamke anatongozwa hovyo hovyo! Nimeapa i wil never walk with one girl!
 
Tafuta wadada waliolelewa kuwa independent kwani ni wagumu ku fall kwa wanaume sababu ya pesa. Naona kama girlfriend wako wa kwanza ni tamaa zilimponza na si kuwa alimpenda kweli mume wa mtu.


Nilipokuwa naye mbona hakuwa na uhusiano na huyo mtu?alidanganywaje wakati anajua nina uhusiano naye?je alijiweka mazingira gani mpaka adanganywe?
 
Sasa kaka, yani kutendwa na wanawake hao ndo iwe na sisi wote tuko hivyo jamani? Pole, lakini mimi pia nimetendwa na mwanaume mmoja, na huwa namuona kama Mbwa kwa matendo yake. Je wanaume wote ni mbwa ka huyu ninaemuona ka mbwa? Samehe tulia utakutana tu na anayekupenda.
 
Pole sana Excellent mimi nafikiri wakati unakuw kwenye uhusiano ulikuwa huonyeshi kama upo serious na hao wasichana wako,ndio maana waliweza kufanya hayo, at least ungempa pete ya uchemba ili ajione yuko commited,
 
Pole Exellent!
Kuna wadada wengine hawana hizo mambo ndugu yangu, hao ulokuwa nao watakuwa vicheche tu,


(aahhh hebu njoo kwangu uone kama hujaja hapa JF kusema "wadada wakipenda hupenda kweli" ohh mara "kuna dada kaning'ang'ania "
he he ehe he )
utani tu jaman
kha!
 
Pole sana Excellent mimi nafikiri wakati unakuw kwenye uhusiano ulikuwa huonyeshi kama upo serious na hao wasichana wako,ndio maana waliweza kufanya hayo, at least ungempa pete ya uchemba ili ajione yuko commited,
Gaga pete ya uchumba nilishawahi kumvalisha moja na bado nikamfumania,kwa hiyo kweli pete haina msaada
 
SexaMicca utawajuaje?nje kondoo ndani mbwa mwitu
Pole Exellent!
Kuna wadada wengine hawana hizo mambo ndugu yangu, hao ulokuwa nao watakuwa vicheche tu,


(aahhh hebu njoo kwangu uone kama hujaja hapa JF kusema "wadada wakipenda hupenda kweli" ohh mara "kuna dada kaning'ang'ania "
he he ehe he )
utani tu jaman
kha!
 
LD tatizo sidhani kama nitamwamini mwingine sasa hivi,kwa hiyo wanaokuwa na wapenzi wa extra nadhani kiasi flani wanauzoefu ndo maana wanajilinda

Sasa kaka, yani kutendwa na wanawake hao ndo iwe na sisi wote tuko hivyo jamani? Pole, lakini mimi pia nimetendwa na mwanaume mmoja, na huwa namuona kama Mbwa kwa matendo yake. Je wanaume wote ni mbwa ka huyu ninaemuona ka mbwa? Samehe tulia utakutana tu na anayekupenda.
 
Hiyo nayo inawezekana kwa kiasi kikubwa
Tafuta wadada waliolelewa kuwa independent kwani ni wagumu ku fall kwa wanaume sababu ya pesa. Naona kama girlfriend wako wa kwanza ni tamaa zilimponza na si kuwa alimpenda kweli mume wa mtu.
 
Mkuu mi kama wewe tu nimeshakuwa sugu


Ila wanawake hamueleki kabisa nimeshasalitiwa live bila chenga yaani ile unaona anascreem kabisa.sasa hv nimekuwa sugu sana nina mpango mkakati kwa sababu mwanamke anatongozwa hovyo hovyo! Nimeapa i wil never walk with one girl!
 
Rose1980 we sema kwa niamba yako kwamba wewe sio wewe but asilimia kubwa ndo hivo
ehh wewe kutendwa na ivo vinguchiro vyako ndo useme wanawake wooote koma babu

na mimi niliyetendwa na mwanaume basi niseme wanaume wooote paka2?

si wanawake wote wabaya
si wanaume wote wabaya

akuna haja ya kujumlisha jinsia na kuijaji kwa ujumla wake.

byeeee.....
 
Kati ya mwanamke na mwanaume nani ni mwepec kumsalti mwenziwe?

hapo fifty-fifty...mwanamme anapomsaliti mwanamke huwa anamsaliti kwa mwanamke mwingine..huko anakoenda hata huyo mwanamke anakuwa ana bwana mwingine...so derive hesabu hapo utapata eco-usaliti
 
Back
Top Bottom