nani anamiliki hotel ya ngurudoto ya Arusha?
nani anamiliki hotel ya ngurudoto ya Arusha?
nani anamiliki hotel ya ngurudoto ya Arusha?
Ze Nkapa.
nani anamiliki hotel ya ngurudoto ya Arusha?
TOOOOSHAAAAAAAAAA, utanipa presha buuure kijana wa watu!.Ni meleo awio mrema. Ambae pia ni mmiliki wa naura spring, impala, moshi hotel, impala moshi. Pia anamiliki victoria tower ambapo airtel arusha wamepangisha na kcb bank. Pia anamiliki fiona tower ambayo inaendelea kurekebishwa' akiwa na ubia na nhc. Pia ana ndurumanga farm iko nyuma ya polisi usa river, na amenunua magorofa ya kili tex. Yaliyopo njia ya njiro zaidi ya hapo anamiliki nyumba za kutosha maeneo mengi hapa arusha pia ni mfanya biashara safi sio fisadi... Mungu amuongezee.
nani anamiliki hotel ya ngurudoto ya Arusha?
Ni meleo awio mrema. Ambae pia ni mmiliki wa naura spring, impala, moshi hotel, impala moshi. Pia anamiliki victoria tower ambapo airtel arusha wamepangisha na kcb bank. Pia anamiliki fiona tower ambayo inaendelea kurekebishwa' akiwa na ubia na nhc. Pia ana ndurumanga farm iko nyuma ya polisi usa river, na amenunua magorofa ya kili tex. Yaliyopo njia ya njiro zaidi ya hapo anamiliki nyumba za kutosha maeneo mengi hapa arusha pia ni mfanya biashara safi sio fisadi... Mungu amuongezee.
kwa jinsi li muongo lilivokuwa liongo eti lilidai tena kwa kubetua milipsi juu... hakuna mtanzania atakeweza kuwekeza vitalu vya gesi hapa tanzania..wanaweza kuwekeza kwenye maji na pipi".. kumbe kuna ma don wamekula buyu wanasikilizia tuu mambo yajipe..!!Ni meleo awio mrema. Ambae pia ni mmiliki wa naura spring, impala, moshi hotel, impala moshi. Pia anamiliki victoria tower ambapo airtel arusha wamepangisha na kcb bank. Pia anamiliki fiona tower ambayo inaendelea kurekebishwa' akiwa na ubia na nhc. Pia ana ndurumanga farm iko nyuma ya polisi usa river, na amenunua magorofa ya kili tex. Yaliyopo njia ya njiro zaidi ya hapo anamiliki nyumba za kutosha maeneo mengi hapa arusha pia ni mfanya biashara safi sio fisadi... Mungu amuongezee.