moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,928
Wataalam wa uchumi nisaidieni kidogo, nani mkweli.
Wananchi wanadai kuwa serikali imebana hela.
Serikali inasema watu wameficha hela.
TRA wanasema makusanyo ya kodi kwa mwezi yameongezeka.
Lipi ni lipi?
*Epuka Uchochezi*
Wananchi wanadai kuwa serikali imebana hela.
Serikali inasema watu wameficha hela.
TRA wanasema makusanyo ya kodi kwa mwezi yameongezeka. Lipi ni lipi?
*Epuka Uchochezi*