Nani mkali wa kuimba chorus bongo?

Nani mkali wa kuimba chorus bongo?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Wakuu mi kama naona vile Linex kwenye chorus huwa anasound poa,katika nyimbo unazozipenda nani alikuvutia kwenye chorus?
 
Nature Kibla ndio kiboko


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Ukimtaja Jislin nawakumbuka wakali kwanza, Makamua pamoja na Q jay walikuwa wakali kweli kweli!!
majamaa walikuwa wanajua,napenda wangefanya kazi pamoja na O-ten
 
Nature Kibla ndio kiboko


Sent from my iPhone using JamiiForums app
unanikumbusha aliposhirikishwa na OCG kitu Akwelina!sidhani kama Matola anakumbuka au anajua hilo ngoma
 
Last edited by a moderator:
Nature Kibla ndio kiboko


Sent from my iPhone using JamiiForums app
***** imebidi niiingie youtube niangalie ngoma za Nature alizoshirikishwa,hii kaimba na Sqeeza naja ni noma mazee
 
***** imebidi niiingie youtube niangalie ngoma za Nature alizoshirikishwa,hii kaimba na Sqeeza naja ni noma mazee
Umenikumbusha mbali aiseee.
Kwa ubishi na hasira mimi naja nakomesha vinaa
Mimi naja, Oooh wazungu na mablack
Afu ile background pale kati sasa Hahaaa Longtime kitambo!
 
ukisema Dully Sykes huwa namkumbuka Joslin sijui kapotea wapi

Ukimtaja Jislin nawakumbuka wakali kwanza, Makamua pamoja na Q jay walikuwa wakali kweli kweli!!

Mawingu hao,hawana huruma kabisa.Wame tumia vipaji vyako kutengeneza hela halafu wakawatosa

Albamu ya Joslin ilikuwa kama ya dimond,hakuna kupeleka mbele nyimbo zote kali.Huyo Q jay na makamua ndio balaa kabisaaa
 
saiv kuna watu hawa G. Nako .Benpol na Blue ni shiiiiida
 
***** imebidi niiingie youtube niangalie ngoma za Nature alizoshirikishwa,hii kaimba na Sqeeza naja ni noma mazee

naja ni noma looo nature enzi zake alikuwa anadatisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom