Teh teh kijana bora umetangaza nia....
Teh teh kijana bora umetangaza nia....
Usijali ngoja niongee na shemeji yakl@amyner tujue la kufanya...anamalizia kuandaa cha jioni then tutakujulisha...
Tukutane badae meeeen!!!
Hahahaaaa Ummu acha kung'ata vidome aisee....relux then chukua hatua.....
erick52 mi nishatolewa barua asije ngoma bure mwana jf kunichukua jumla
Mambo ?
Na kumtambulisha tumjue tatizo nini?
niko poa
maadili ya dini yanasema USITANGAZE UCHUMBA TANGANZA NDOA.nikimtaja hapa kila mtu atamtoa kasoro mwisho wa siku atanibwaga bure na mi nishapenda.
Hahahaaaa Ummu acha kung'ata vidome aisee....relux then chukua hatua.....
erick52 mi nishatolewa barua asije ngoma bure mwana jf kunichukua jumla
Shwari !
Zile habari zisemazo "biashara asubuhi" zishapitwa na muda! nw dys "biashara alfajiri"
Hahahahahahaaa ni kweli aisee ila naona Ruta ni km anataka kuleta mizengwe kwa nanii
gambachovu nimefanyaje tena mkuuMr Rocky bana!
Hivi hapa mnaongelea nini vile