Nani mkali kati ya Rayvanny na Harmonize?

Huwezi kumfananisha Rayvanny na vitu vya ajabu ajabu hivyo. Halafu hivi Harmonise na yule dogo mmoja wa kwenye Band ya Yamoto Band ni ndugu? Maana huo mfanano!!!!
Yule wa Una ramboooooo
wote ni wa nanjilinji mkuu ndo maana
 
Dogo picha zake nyingi anaweka pozi za kike kike, sura, macho, midomo anaibinua kama wadada!

Nadhani anahitaji kutafuta pozi la kiume kwa ajili ya picha.
Hoja yako haina mashiko imejaa ka wivu flani , bt all in all dogo mkali yani. Huyo nanjilinji boy hamfikii hata theruthi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…