Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
KumfananisHa Criss Brown Na Diamond Ni Sawa Na Kufananisha Kitambi na MimbaWadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
hujui mziki kabisa mkuu...how diamond na C.brown?au umetoka usingizini ukakurupuka kwenye jamii forumWadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
sasa diamond anaimbs RnB!?Level nyingine kiaje mkuu kwani Chris haimbi RnB?
hujui hata RnB!!....hiyo anayoimba diamond kwa akili yako ni RnB!?...nonsense!anaimba nini? we unamwonaje?
Hiki ulichojibu ndio mahaba yenyewemahaba gani tena? huoni kama Chris Brown atafunikwa
Unajua ili Eminem aimbe wimbo mmoja kwenye show anatoza bei gani?Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Na ni nani aliekwambia Diamond anaimba RnB.???Level nyingine kiaje mkuu kwani Chris haimbi RnB?
hahahaa bila shaka ulitoroka milembe then ukapata opportunity ya kuanzisha thread Jfmahaba gani tena? huoni kama Chris Brown atafunikwa