Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,547
Chukua like!
Afu unaonekana mmbea.. !!?
Chukua like!
We jifanye polisi na vimaswali vyako, utaimba haleluya..
bora useme wewe shem, yani huyu mbaba hataki niwe na furaha hata kidogo!
Mbona sikuelewi.... !!? furaha gani unataka nikupe...!?? funguka tu...
Afu unaonekana mmbea.. !!?
Hivyo ni vitisho vya Sisi M.
mbona sikuelewi.... !!? Furaha gani unataka nikupe...!?? Funguka tu...
Taratiiiiiiiiiiiiiiibu utaelewa ....... jana si umeanza kuandika chini kwa vidole, next week utaanza kutumia penseli!
^^
Teh teh Kumbe unamtolea macho,,
Mtu akiwa kwake ni mfalme.
We ruhusu file langu tu..
Kipenda roho...
^^
taratiiiiiiiiiiiiiiibu utaelewa ....... Jana si umeanza kuandika chini kwa vidole, next week utaanza kutumia penseli!
We tiririkaaaa uwaponze wenzio...
we mwache ajifanye haelewi!
Taratiiiiiiiiiiiiiiibu utaelewa ....... jana si umeanza kuandika chini kwa vidole, next week utaanza kutumia penseli!
Dharau hizo ujue...
Sasa hv anaelewa, kaniPM dk 0 iliyopita!