Umesahau ule usemi usemao "Mla vya watu na vyake huliwa".
hapana baba ni ua tu
Tayari umeshaahrisha mpango wako na kale ka Himidini!??
Mpu.mbavu amesharuhusu ku PIGA... na ntaPIGA kweli... manaake sina namna nyingine ni kuPIGA tu...
Iko vizuri xana kwako jee??
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
kwahiyo niliondoe?
Vyangu hali mtu hata vya mwanangu hawali wachafuzi...
nampenda mpaka napata homa!!
acha uchokozi, utajapoteza uenyekiti wako bure! Watoto wa watu wamependane, acha wale raha!
nampenda mpaka napata homa!!
bora useme wewe shem, yani huyu mbaba hataki niwe na furaha hata kidogo!