double click tatizo siyo kulima au mkataba.
Unaweza kuingia mkataba na watu wakainia mitini usijue pa kuuza mzio mkubwa kama huo wakati umetumia milioni kadhaa kulima.
Mbegu tu unaambiwa laki 3 na kitu kwa hekari bado mengineyo.
Pia unaweza kulima ukaambiwa uwape mzio kampuni utakuja kulipwa baada ya majuma(weeks) kisha ikachukua muda zaidi na kulipwa pungufu tena kwa awamu(installments).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.