Nani kamuuzia Manji ufukwe wa Coco?

Nani kamuuzia Manji ufukwe wa Coco?

mastersajenti

Senior Member
Joined
Dec 4, 2015
Posts
165
Reaction score
24
Watanzania wenzangu wakati umefika sasa wakusema basi kwa baadhi ya viongozi wetu wanaojifanya wanatoa maamuzi kwa niaba ya serikali kumbe in kwa faida yao binafsi.Inashangaza Leo Mkuu wa Mkoa eti anamsihi Manji aachie eneo la Coco Beach Kwa ajili ya wananchi.

Kwani ni nani aliyemwuzia Manji? Je huyo aliyeuza hakujua kuwa kuna wananchi? Ni dhahiri uongozi wa mkoa haukuhusishwa.Kuna wakati watendaji wa Wizara ya Ardhi waliuza eneo la Mnazi Mmoja kwa mfanya biashara aitwae Bagdadi lakini aliyekuwa Waziri wa Ardhi Mh.Lowassa alizuia biashara hiyo na wahusika wote akiwemo na Bagdadi mwenyewe walifikishwa mahakamani na kuhukumiwa vifungo.

Wakati umefika wa Mkuu wa Mkoa sio kumwomba Manji ila kutengua mikataba yote na wahusika wote wafikishwe mahakamani.Wahusika wamefanya biashara na Manji.

Kauli mbiu yetu ni HAPA KAZI TUU
 
Mkuu wa mkoa anamwomba Manji awaruhusu wananchi kuingia eneo la coco beach! Haya bana mimi iko tuu naagalia, Hii mindi naona sisi tumbili tuu kuva ye iko pesa sio. haya bana sisi nagojea tu pana fikri sisi. Mkuu ya koa, kamata ote veka dani banaa sisi taona nani weza tova yeye.
Halafu, cha kusikitisha ni kuwa, wanao wakimbiza wananchi pale ni wamatumbi wenzao. Shame on yu
 
Mkuu wa mkoa anamwomba Manji awaruhusu wananchi kuingia eneo la coco beach! Haya bana mimi iko tuu naagalia, Hii mindi naona sisi tumbili tuu kuva ye iko pesa sio. haya bana sisi nagojea tu pana fikri sisi. Mkuu ya koa, kamata ote veka dani banaa sisi taona nani weza tova yeye.
Halafu, cha kusikitisha ni kuwa, wanao wakimbiza wananchi pale ni wamatumbi wenzao. Shame on yu

Manji naona atauziwa na ikulu, huku zanzibar hivi karibuni kauziwa eneo la bwawani malindi, eneo ambalo ni la wazi.

Hapo awali tuliona project ya serikali kuwa eneo hilo la bwawani kutajengwa mall na park, sasa hivi ccm washauza ili wapate pesa za kurudia uchaguzi na campaign
 
Hiyo kauli ya mkuu wa mkoa imenishangaza sana!
 
Hao viongozi wa serikali waliohusika na biashara kichaa na manji wakamatwe wapelekwe keko au segedansi wakakalie debe.
 
Mada kama hio ya.kisheria kabosa utasikia siasa zinaingia humo.
Mimi naiona iko wazi kabisa. Kigugumizi ki atoma wapi?

Eneo limeuzwa?
Limeuzwa? Kama ndio nenda swali 2 kama hapana mjadala ufungwe
2. Limeuzwa kihalali kufuata mipango, masilahi, vikao sheria hati nk? Kama ndio nenda chimi lama.hapana tuachie hapa
3. Walioshoriki kuvunja sheria wakamatwe awafunguliwe mashitaka. Hati ibatilishwe

Limeuzwa
 
Swali zuri sana, nani kamuuzie fukwe manji???
Tungeanzia hapo ingependeza

Manispaa ya kinondoni? Ilikuwaje manispaa ya kinondoni ikaafiki Manji auziwe eneo la wazi? Kwa vile alikuwa backedup na nguvu ya mshenga. Huyo mshenga aliyewakutanisha Manji na manispaa ni nani?
 
Manispaa ya kinondoni? Ilikuwaje manispaa ya kinondoni ikaafiki Manji auziwe eneo la wazi? Kwa vile alikuwa backedup na nguvu ya mshenga. Huyo mshenga aliyewakutanisha Manji na manispaa ni nani?
Inakuwaje manispaa ya kinondoni wamuuzie,
Afu hao hao wakakate rufaa mahakamani ya manji kushinda kesi ya kuuziwa kiwanja hicho???
 
Meya, madiwani, Mkurugenzi wa Manispaa, maofisa wa idara ya ardhi.
 
Haya ndo maswali magumu ya kujiuliza hapa ni kupeleka segerea kamati nzima na Manji mwenyewe
 
Watanzania wenzangu wakati umefika sasa wakusema basi Kwa baadhi ya viongozi wetu wanaojifanya wanatoa maamuzi Kwa niaba ya serikali kumbe in Kwa faida yao binafsi.Inashangaza Leo Mkuu Wa Mkoa eti anamsihi Manji aachie eneo la COCO BEACH Kwa ajili ya wananchi.Kwani ni nani aliyemwuzia Manji? Je huyo aliyeuza hakujua kuwa kuna wananchi? Ni dhahiri uongozi Wa mkoa haukuhusishwa .Kuna wakati watendaji Wa Wizara ya Ardhi waliuza eneo la Mnazi Mmoja Kwa mfanya biashara aitwae Bagdadi lakini Aliyekuwa Waziri Wa Ardhi Mh.Lowassa alizuia biashara hiyo Na wahusika wote akiwemo Na Bagdadi mwenyewe walifikishwa mahakamani Na kuhukumiwa vifungo.Wakati umefika Wa Mkuu Wa Mkoa sio kumwomba Manji ila kutengua mikataba yote Na wahusika wote wafikishwe mahakamani.Wahusika wamefanya biashara Na Manji.Kauli mbiu yetu ni HAPA KAZI TUU

Na nani kammuzia jengo la iliyokuwa ETIENNES HOTEL pale eneo la Upanga? Jengo hilo la kihistoria lilikuwa mali ya umma kupitia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Rais Magufuli majuzi amesema kuwa kwa wenye pesa hata Ikulu inanunulika. DG Mchechu tuambie nani alitoa kibali cha kuuza na mliuza kwa bei gani?
 
Mwulizeni mkuu wa mkoa anayemsihi diwani wa mbagala na meya wa jiji mtarajiwa akubali yaishe
 
Alinunua eneo lililotengwa kwa ajili ya msikiti keko..shehk Ponda kalipigania hadi kasota jela..huyo Manji kaweka kitengo mfukoni anatembea na maamuzi yao pia..
 
Alinunua eneo lililotengwa kwa ajili ya msikiti keko..shehk Ponda kalipigania hadi kasota jela..huyo Manji kaweka kitengo mfukoni anatembea na maamuzi yao pia..
nasikia na albadili alisomewa holaa. Jamaa mgumu!
 
Diwaniiii..............tumesahau matrekta ya kuzolea taka aliyowauzia Manispaa ya Kinondoni?
 
Manji naona atauziwa na ikulu, huku zanzibar hivi karibuni kauziwa eneo la bwawani malindi, eneo ambalo ni la wazi.

Hapo awali tuliona project ya serikali kuwa eneo hilo la bwawani kutajengwa mall na park, sasa hivi ccm washauza ili wapate pesa za kurudia uchaguzi na campaign

Miunda;
Usikitamke chama hicho tena mkuu. Wanasema atii, Magu hajachangiwa hata senti moja na mfanyi biashara. Wakati tunajua kuwa hawa ndio walio mfadhili akaingia Ikulu. Sasa unataka wafanyeje kama kurudisha fadhila?
Matokeo yake ni mkuu wa mkoa akamlilie ukiwa kuwa masela wameng'am. Hakuna uwezo wa kumgusa mteule. Sasa atakuwa meya wa jiji ndo mtalijua jiji
 
Back
Top Bottom