Nani Kamficha Gwajima? Ukweli Wajulikana!

Nani Kamficha Gwajima? Ukweli Wajulikana!

MBABE ametupa ule ubuyu tuupendao.

Naam tutapoteza Kila kitu kwa kunogewa kuutafuta.

😆😆😆
 
Hivi Godfrey (baba God aka God of God aliyekuwa na kanisa lake kule Mwanza njia ya kuelekea Bugando hospital) best yake wa toka wako sekondari na baadae kuanza ujasiriamali wa neno la Mungu pamoja yeye alijipoteza au alipotezwa na wapotezaji? Zaidi ya miaka kumi hajulikani alipo. Ni siri nzito.
 
Siri Nzito: Nani Kamficha Gwajima? Ukweli Wafichuka!

Watu wanauliza, Gwajima yuko wapi?


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rfnzebx0oiY

Wengine wanasema kafichwa na watu: na anatumia mbinu za kibinadamu kujificha ikiwemo kutotumia simu, kubadili makazi mara kwa mara, na kumtumia mwanasheria wake, Kibatala, kuzungumza na wale wanaomhitaji.

Wanaosema kafichwa na Mungu wanaamini inawezekana kwa sababu yeye si wa kwanza kufichwa! Waumini wake wanakwenda mbali zaidi kwa kudai Gwajima alifanya maombi ya kujificha mbele yao!

Kwa mujibu wa Biblia, watu kazaa wamewahi kufichwa na Mungu miongoni mwao ni:

Musa alifichwa dhidi ya mauaji ya watoto wa kiume yaliyokuwa yanafanywa na Farao.

Ayubu aliwekewa ulinzi na Mungu dhidi ya kuteswa na shetani mpaka shetani alipoomba ruhusa kwa Mungu na kuruhusiwa.

Yusufu, Mariamu na Yesu, walifichwa Misri na Mungu wakikimbia nia mbaya ya Herode ya kuua watoto wote wachanga.

Daudi aliokolewa kutoka mikono ya Sauli. Mfalme Sauli alimuwinda Daudi miaka mingi akitaka kumuua lakini Mungu alimficha mara zote.

Eliya alipowaua manabii wa Baali, Mungu alimwongoza Eliya kukimbilia jangwani, akampa chakula na maji na hatimaye akamficha katika pango ili kumlinda kutokana na ghadhabu ya Yezebeli.

Nabii Yeremia alikabiliwa na upinzani mkali na vitisho vya kuuawa kutokana na ujumbe wake. Mungu alimlinda mara kadhaa, ikiwemo wakati alipofichwa na Baruku mwandishi wake na pia alipoahidiwa ulinzi na Mungu mwenyewe.

Gwajima kafichwa na nani?

Ni swali gumu linalohitaji muda na uchunguzi. Hata hivyo jibu linalokubalika na wengi ni hili, “Watu wanaomwamini Mungu, wamemficha Gwajima.”

Huyu si mwamba bali mbabaishaji wa kawaida ambaye sasa amefikia ukingoni
 
Hivi Godfrey (baba God aka God of God aliyekuwa na kanisa lake kule Mwanza njia ya kuelekea Bugando hospital) best yake wa toka wako sekondari na baadae kuanza ujasiriamali wa neno la Mungu pamoja yeye alijipoteza au alipotezwa na wapotezaji? Zaidi ya miaka kumi hajulikani alipo. Ni siri nzito.
Baba God alipotea kabisa mkuu?
 
Juzi jumapili mbona na yy alikua anasali pale nje..
Nilitaka niliseme hili kwa ushahidi wa ile video tena akiwa amevaa kofia Gwajima bado nawaza huu mchezo kauchezaje chezaje bado sipati jibu ila ninachoamini yale makundi Hasimu ya Samia ndiyo yapo nyuma ya huyu Mwamba July nina Imani jamaa atarudi kwa nguvu kubwa mnoo isiyozuilika jiulize waliozuia mali za Msiba kipindi kile kupigwa mnada na Membe na hawa juzi waliozuia kanisa la Gwajima kufungiwa ninachoamini kuna Watu wapo mbele ya Muda siyo KJ wala Kizi wanaoweza kuzuia kinachokuja July.
 
Nilitaka niliseme hili kwa ushahidi wa ile video tena akiwa amevaa kofia Gwajima bado nawaza huu mchezo kauchezaje chezaje bado sipati jibu ila ninachoamini yale makundi Hasimu ya Samia ndiyo yapo nyuma ya huyu Mwamba July nina Imani jamaa atarudi kwa nguvu kubwa mnoo isiyozuilika jiulize waliozuia mali za Msiba kipindi kile kupigwa mnada na Membe na hawa juzi waliozuia kanisa la Gwajima kufungiwa ninachoamini kuna Watu wapo mbele ya Muda siyo KJ wala Kizi wanaoweza kuzuia kinachokuja July.
Hatari sana mkuuu
 
Siri Nzito: Nani Kamficha Gwajima? Ukweli Wafichuka!

Watu wanauliza, Gwajima yuko wapi?


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rfnzebx0oiY

Wengine wanasema kafichwa na watu: na anatumia mbinu za kibinadamu kujificha ikiwemo kutotumia simu, kubadili makazi mara kwa mara, na kumtumia mwanasheria wake, Kibatala, kuzungumza na wale wanaomhitaji.

Wanaosema kafichwa na Mungu wanaamini inawezekana kwa sababu yeye si wa kwanza kufichwa! Waumini wake wanakwenda mbali zaidi kwa kudai Gwajima alifanya maombi ya kujificha mbele yao!

Kwa mujibu wa Biblia, watu kazaa wamewahi kufichwa na Mungu miongoni mwao ni:

Musa alifichwa dhidi ya mauaji ya watoto wa kiume yaliyokuwa yanafanywa na Farao.

Ayubu aliwekewa ulinzi na Mungu dhidi ya kuteswa na shetani mpaka shetani alipoomba ruhusa kwa Mungu na kuruhusiwa.

Yusufu, Mariamu na Yesu, walifichwa Misri na Mungu wakikimbia nia mbaya ya Herode ya kuua watoto wote wachanga.

Daudi aliokolewa kutoka mikono ya Sauli. Mfalme Sauli alimuwinda Daudi miaka mingi akitaka kumuua lakini Mungu alimficha mara zote.

Eliya alipowaua manabii wa Baali, Mungu alimwongoza Eliya kukimbilia jangwani, akampa chakula na maji na hatimaye akamficha katika pango ili kumlinda kutokana na ghadhabu ya Yezebeli.

Nabii Yeremia alikabiliwa na upinzani mkali na vitisho vya kuuawa kutokana na ujumbe wake. Mungu alimlinda mara kadhaa, ikiwemo wakati alipofichwa na Baruku mwandishi wake na pia alipoahidiwa ulinzi na Mungu mwenyewe.

Gwajima kafichwa na nani?

Ni swali gumu linalohitaji muda na uchunguzi. Hata hivyo jibu linalokubalika na wengi ni hili, “Watu wanaomwamini Mungu, wamemficha Gwajima.”

Matendo makuu ya Mungu
 
Nilitaka niliseme hili kwa ushahidi wa ile video tena akiwa amevaa kofia Gwajima bado nawaza huu mchezo kauchezaje chezaje bado sipati jibu ila ninachoamini yale makundi Hasimu ya Samia ndiyo yapo nyuma ya huyu Mwamba July nina Imani jamaa atarudi kwa nguvu kubwa mnoo isiyozuilika jiulize waliozuia mali za Msiba kipindi kile kupigwa mnada na Membe na hawa juzi waliozuia kanisa la Gwajima kufungiwa ninachoamini kuna Watu wapo mbele ya Muda siyo KJ wala Kizi wanaoweza kuzuia kinachokuja July.
Mkuu hivi kanisa lilikuja kuruhusiwa kuendelea na huduma?
 
Back
Top Bottom