Nani kama mwana fa?hakuna!kitu classsic!

Sasa kama Jide ana utajiri wa kutosha, ana ushawishi wa kutosha, na kama yeye ni mwanamuziki bora wa kike mwaka huu, manung'uniko yake dhidi ya Clouds ni yapi hasa?
unajua umeongea point sana ndugu yangu,na nilishangaa hujaona hii thread mana sikukuona ili tuwaambie ukweli hawa watu wasioelewa,ivi jamani kumbe mtu unaweza kusimama mwenyewe kwa miguu yako miwili na bado unalalama?kumbe madai yake yote ni uongo na uzushi mkubwa!na ni dhambi kubwa kuharibu image ya wengine kwa lengo la kujitangaza bure ili upate mashabiki siku ya uzinduzi mi nasema kama si mbinu yake hii ya kutangaza migogoro ya uongo na kweli sidhani kama angepata watu,halafu kitu ambacho watu wanashindwa kuelewa ni kwamba mwana FA (BINAMU)alichagua venue ya mbali mbali na makazi ya watu wengi na pia ni kiwanja kipya kwa uzoefu wa wengi na pia kiingilio kilikuwa kikubwa elfu hamsini ni mshahara wa mwezi kwa walio wengi na wanaopiga kelele humu walau ile elfu ishirini kwa Bibi ilikuwa affordable na pale MBUYUNI wengi waliweza kwenda watu wa kila aina na tumewaona,sasa kama BINAMU angeangalia hilo angejaa zaidi kwani nani asiyelijua hilo?ukweli ndo huo.Trust me!
 
Hahahaaaaaa......inasikitisha aje....mwana fa kajiaribia mwenyewe...hata ay hakuwepo kwenye show manake nilimuona bbc aihojiwa..

pole sana mana sijui hata una maana gani mbona maswali yetu hamyajibu?kama huyo bibi yenu anaonewa kama mnavyosema kwa nini amepata washabiki ni kwa nini anashinda kila mwaka tuzo asizostahili?ivi inawezekama mtu akafaulu mtihani ambao hata hakuufanya?kumbe haonewi ila anapenda kusingizia watu hasa anapoona anasahaulika.
 
Show kwenye Lecture Theatre?poor FA.jiunge na wanamziki wenzako walioelimika kina jide,sugu,prof j. acha kutumiwa kama toilet paper
 
unajua umeongea point sana ndugu yangu,na nilishangaa hujaona hii thread mana sikukuona ili tuwaambie ukweli hawa watu wasioelewa,ivi jamani kumbe mtu unaweza kusimama mwenyewe kwa miguu yako miwili na bado unalalama?kumbe madai yake yote ni uongo na uzushi mkubwa!na ni dhambi kubwa kuharibu image ya wengine kwa lengo la kujitangaza bure ili upate mashabiki siku ya uzinduzi mi nasema kama si mbinu yake hii ya kutangaza migogoro ya uongo na kweli sidhani kama angepata watu,halafu kitu ambacho watu wanashindwa kuelewa ni kwamba mwana FA (BINAMU)alichagua venue ya mbali mbali na makazi ya watu wengi na pia ni kiwanja kipya kwa uzoefu wa wengi na pia kiingilio kilikuwa kikubwa elfu hamsini ni mshahara wa mwezi kwa walio wengi na wanaopiga kelele humu walau ile elfu ishirini kwa Bibi ilikuwa affordable na pale MBUYUNI wengi waliweza kwenda watu wa kila aina na tumewaona,sasa kama BINAMU angeangalia hilo angejaa zaidi kwani nani asiyelijua hilo?ukweli ndo huo.Trust me!

Maskini unatia huruma,si ukubali tu yaishe!
 
Hakika Nimeamini mwana FA ni kiboko ya njia!kwamba anakubalika na watu wastaarabu na wenye hekima!ndo maana kama mliokuwepo mliona wote waliokuwepo ni watu wenye hadhi ya kimataifa,watu wasiopenda kujisifia,kitu kizuri jamani hujiuza!kibaya hujitembeza!tukija kwenye kiingilio utakubalana name kwamba ulilenga watu waliostaarabika na wasiopenda kubwabwaja ovyo ndo maana hata mtu mzima FA tangia alipochafuliwa jina lake hujaona akijibu kwa namna yoyote ile!Big up BINAMU! ......Team BINAMU hakuna kuwajibu wasiojua maana maana hawaambiwi maana!mjadala umefungwa na mshindi ni MWANA FA! mana ameonyesha ukomavu na BUSARA kwa kutomjibu bibi yetu!

daah mbona unamchoresha rafiki yako f.a kwa kuongelea aibu aliyopata. siyo fresh mwache asahau kidogo. dont ever under estimate the power of a woman..............
 
Halafu kwa kuongezea kidogo tu ni kwamba pale makumbusho ya taifa kulipofanyika show ya binamu kuna wadau humu wanadhani ni bei saaaana kiasi kwamba binamu kaingia hasara au hawezi au vyovyote walivyodhani ni kwamba hata wewe uliyeshangaa unaweza kukodi ni rahisi sana simply coz ni ya taifa na wanavutia watu wengine wajue kama kuna kumbi kumbuka ni mpya bada ya kujengwa upya,sasa mtu unaposhangaa eti amewezaje kukodi pale na watu walikuwa wachache si kweli na ukumbi ni juu chini watu wengi walijazana juu sasa iyo picha mnayoonyesha eti viti vitupu sijawaelewa ina mana watu wasiende hata msalani?halafu jamani acheni ubishi elfu 50 mlikuwa nazo za kuingilia acheni walioenda ndo wanaujua ukweli na pia clouds walishasema mapema kwamba mwisho watu 400 wawe walifika au nusu yake nadhani haitatusaidia sana.msalimieni bi mkora!
 
mwanafa kama rafiki yako mwambie yeye ni tool ya kuchapia wenzake . kwa elimu yake hatakiwi kuwa mjinga hivyo.
 
Halafu kwa kuongezea kidogo tu ni kwamba pale makumbusho ya taifa kulipofanyika show ya binamu kuna wadau humu wanadhani ni bei saaaana kiasi kwamba binamu kaingia hasara au hawezi au vyovyote walivyodhani ni kwamba hata wewe uliyeshangaa unaweza kukodi ni rahisi sana simply coz ni ya taifa na wanavutia watu wengine wajue kama kuna kumbi kumbuka ni mpya bada ya kujengwa upya,sasa mtu unaposhangaa eti amewezaje kukodi pale na watu walikuwa wachache si kweli na ukumbi ni juu chini watu wengi walijazana juu sasa iyo picha mnayoonyesha eti viti vitupu sijawaelewa ina mana watu wasiende hata msalani?halafu jamani acheni ubishi elfu 50 mlikuwa nazo za kuingilia acheni walioenda ndo wanaujua ukweli na pia clouds walishasema mapema kwamba mwisho watu 400 wawe walifika au nusu yake nadhani haitatusaidia sana.msalimieni bi mkora!

Hii ni aibu kubwa sana kwa mwanaFA, ukitazama vizuri hapo theatre kwa upande wa mbele ni wapiga picha wametawala..

On a serious note: usiendelee kui-update hii post, inatia huruma sana kwa fans wa FA!
 
duuh.. nasikia et wanafunzi wa ifm walipewa ofa ya kuingia ili kuongeza mashabiki... napita tu jaman sina ushahidi.
nawasilisha....

sio unasikia the fact ni wanafunzi wa ifm kwa macho yangu waliingia kwa sh buku 5000,
yaan ningejua ningeenda kwa jidee sehemu imejaa wafanyakaz wa clouds na choice sasa full kusemana maana show iliboa balaaa,watu wachache eti ticket sold out
wafanyakaz wa clouds ilikuwa full kusemana si wanaume wala wanawake
 
kuna picha humu ndani ndugu yangu.inaonyesha ukumbi ulikuwa ni chini na juu na kote watu walijaa.iyo picha imeposiwa na member kwenye hii thread.Halafu ndugu yangu ni kwamba ilikuwa burdani ya wastaarabu wavaa suti,sasa vituko na mayowe ulitaka yawe ya nini kwani pale mpirani.lazima ifike mahali tuwe wastaarabu halafu unavyosema haikufana si kweli,acheni wivu na huyo bibi yenu.
Sikuwa na nia ya kuchangia post yako lakini anabidi niseme kitu.
*Ukweli ni kwamba Show ya MwanaFA haikwenda vizuri, watu walikuwa wachache na haikuwa na hamasa(Kwa mujibu wa picha, video na mashuhuda kadhaa). Kwanini? Show ilivurugwa kwa makusudi kabla na waandaji wake.

*MwanaFA anaimba bongo Flavour, muziki ambao unakwenda pamoja na kushangilia na kucheza. Ni mziki wa Jazz pekee duniani ambao watu hukaa kimya kusiliza na mwisho hupiga makofi. MwanaFA haimbi jazz na hajawahi kuimba Jazz.

*Mashabiki wengi wa Bongo Flavour ni watu wa daraja la chini na kati, na sio watu wa kada ya juu. Hata mashabiki wa mwanaFA wengi ni watu wa chini na kati, hivyo nashindwa kuelewa nini lengo la kufanya show halafu uwakwepe mashabiki wako au mashabiki wako wasije then ujisifu umefanikiwa!!

*Ni ujinga kumsifia mwanaFA kwa njia ya kumdhihaki Lady JD. Maneno ya kumwita Lady JD kuwa ni Bibi, Bi mkora nk sidhani kama ni busara sana. Let call her a woman and nothing else.
 
Sasa kama Jide ana utajiri wa kutosha, ana ushawishi wa kutosha, na kama yeye ni mwanamuziki bora wa kike mwaka huu, manung'uniko yake dhidi ya Clouds ni yapi hasa?
Mtu yoyote anayejua haki zake na akiwa na ujasiri wa kutosha yuko tayari kuzipigania haki zake popote pale.
Haijalishi yeye ni maarufu, tajiri ama nani, bado atazipigania.

Hata Bill Gates mtu ambaye ni Tajiri sana, maarufu sana na mwenye mafanikio zaidi dunia mara kadhaa amekuwa akilalamia na kupigania haki za Company yake ya Microsoft popote pale zinapoguswa. Amefanya hayo kijamii na kisheria.

Hivyo Lady JD yuko sahihi kabisa katika hilo.
 
Back
Top Bottom