Vangigula JF-Expert Member Aug 13, 2015 814 2,543 Sep 26, 2021 #5 Kwa ukubwa wa mwamvuli wangeweza kuutumia wote wawili.
Jack Daniel JF-Expert Member Sep 23, 2021 2,150 10,393 Sep 26, 2021 #6 Huyo ni mama yake au bibi yake
Franco17 New Member Sep 24, 2021 2 11 Sep 26, 2021 #7 simplemind said: Click to expand... Wanaume wanatafuta ili mpate nguvu ya kuhoji nani kama Mama. Pendeni wazazi wenu wote ktk hali ya usawa.
simplemind said: Click to expand... Wanaume wanatafuta ili mpate nguvu ya kuhoji nani kama Mama. Pendeni wazazi wenu wote ktk hali ya usawa.
Zabron Hamis JF-Expert Member Dec 19, 2016 6,517 10,427 Sep 26, 2021 #8 Hakuna kama mama (kwa wanawake) Hakuna kama baba kwa wanaume. Baba ndiye mwanaume bora na mama ndiye mwanamke bora duniani.
Hakuna kama mama (kwa wanawake) Hakuna kama baba kwa wanaume. Baba ndiye mwanaume bora na mama ndiye mwanamke bora duniani.
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,559 142,334 Sep 26, 2021 #9 Kawaida sana... Mtu mzima kumkinga mtoto wala haitaji umama...
Karucee JF-Expert Member Mar 11, 2012 18,146 34,190 Sep 26, 2021 #10 Jack Daniel said: Huyo ni mama yake au bibi yake Click to expand... Hata sisi hatujui Mkuu.
M man dunga JF-Expert Member Oct 13, 2013 3,216 5,566 Sep 26, 2021 #11 Franco17 said: View attachment 1953322 Wanaume wanatafuta ili mpate nguvu ya kuhoji nani kama Mama. Pendeni wazazi wenu wote ktk hali ya usawa. Click to expand... Wakishiba, nani kama mama? Wakiwa na njaa, baba hajaacha hela ya mboga. Wababa tumekubali yote..
Franco17 said: View attachment 1953322 Wanaume wanatafuta ili mpate nguvu ya kuhoji nani kama Mama. Pendeni wazazi wenu wote ktk hali ya usawa. Click to expand... Wakishiba, nani kama mama? Wakiwa na njaa, baba hajaacha hela ya mboga. Wababa tumekubali yote..
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,149 Sep 29, 2021 #12 Vangigula said: Kwa ukubwa wa mwamvuli wangeweza kuutumia wote wawili. Click to expand... Dogo angeloa kwasababu ya kimo chake, mwamvuli ingebidi ushikwe na Bi Mkubwa
Vangigula said: Kwa ukubwa wa mwamvuli wangeweza kuutumia wote wawili. Click to expand... Dogo angeloa kwasababu ya kimo chake, mwamvuli ingebidi ushikwe na Bi Mkubwa
Rebeca 83 JF-Expert Member Jun 4, 2016 14,840 31,583 Sep 29, 2021 #13 man dunga said: Baba ndie alienunua mwamvuli. Click to expand... 🤣🤣🤣😊
Fall Army Worm JF-Expert Member Jan 8, 2015 19,331 14,259 Sep 29, 2021 #14 Zabron Hamis said: Hakuna kama mama (kwa wanawake) Hakuna kama baba kwa wanaume. Baba ndiye mwanaume bora na mama ndiye mwanamke bora duniani. Click to expand... Umenena vema Mkuu.
Zabron Hamis said: Hakuna kama mama (kwa wanawake) Hakuna kama baba kwa wanaume. Baba ndiye mwanaume bora na mama ndiye mwanamke bora duniani. Click to expand... Umenena vema Mkuu.