Nani kama Makonda?

Nani kama Makonda?

Kama wewe hasa uko bize na kazi gani kama si kusifia hata vitu vya hovyo kama hivi !!????

Mkuu kusifia ujenzi wa madarasa ni upuuzi? Kama kujenga madarasa ni kitu cha hovyo basi nyie endeleeni kupiga domo. Kuna siku kila mtu atavuna alichopanda.
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
Niwewe maana akili zenu zinfanana
 
Mkuu na wewe unalipwa kutukana? Tufanye kazi hakuna namna siasa za mteremko zama hizi ni ngumu. Kutegemea mdomo kama ndio nyenzo ya kisiasa kumeshapitwa na wakati mtabaki kulaumu watu wako busy na kazi.
Sasa wewe mbona unafanya siasa za mteremko?
Piga kazi tutaona wenyewe acha mdomo huku jf
 
Watu wengine ovyooo! Sasa mpeleke akaoe kwenu aimarishe undugu wenu
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
ukimaliza kumfulia nguo ufute na viatu then mvalishe.
mtumwa wewe
 
Dogo anajipanga vipi maana kwny uteuzi moya hayumo hata ukatobu kata hana duhh majanga
 
Apelekwe Wilaya Ya Magu Ili Tumpime Vizuri Maana Dar Kick Za Media Pia Zinawabeba, Mtu Anaongelea Mtaa Wa Baa Anapigiwa Makofi?
Nafikiri Angeongeza Ubunifu Kwa Kuhimiza Ujenzi Wa Maktaba Ya Umma Watu Wapate Sehemu Tulivu Za Kujisomea Na Kupunguza Ulevi
 
Nafikiri bado ujaijua vizuri picha ya Makonda now kwa wananchi. Nimeandika hii baada ya mjadala mzito hapa Kinondoni watu wanasema kawafunika mpaka mawaziri wa Magu. Wewe unalazimisha image unayotaka wewe. Kaa hivyo hivyo.
mjadala wa wanywa viroba unaleta hapa!
hivi makonda huo u dc ameutumikia kwa mda gani? haitoshi kumsifia mtu ktk utumishi chini ya miaka 5. ni ujinga kuanzisha uzi wa kumsfia mtu asiye na chembe ya maadili mbele ya jamii. nasema makonda hafai hata kama atafanya kaz 24hrs, siku 7 za wik, miez12 bila kupumzika au kwa mafanikio kiasi gani, hayo yote hayafanyi kwa kuwa ni mzalendo bali anasaka madaraka na sifa binafsi. kama ni mzalendo asingemdhalilisha warioba, asingewadhalilisha watumishi wa ardhi wala kubenea.
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
Mkuu I have already sent my "LIKE" to your post.
Ila hapo kwenye kuondoa baa za vichochoroni kwenye makazi ya watu tunapasubiri kwa hamu-(ATAPAWEZA?),na tunamtakia kila la kheri ingawa pana changamoto kubwa.
 
Hata yeye alianza kama wewe, ongeza mwendo tafuta wa kumfunga kamba za viatu. Pia tafuta nafasi ya kumpiga ngwala Lowasa, utatoka tu.
 
Hakuna km yeye, anasifika darisalama nzima, kuliko wakuu wote wa wilaya za mkoa wa darisalama, nashauri apewe umanju
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
"..Eti makonda ndo nani? hatumjui huku ujiji-kigoma"
 
Mkuu na wewe unalipwa kutukana? Tufanye kazi hakuna namna siasa za mteremko zama hizi ni ngumu. Kutegemea mdomo kama ndio nyenzo ya kisiasa kumeshapitwa na wakati mtabaki kulaumu watu wako busy na kazi.

Hivi mkuu kuna mahali nimetukana?
 
Back
Top Bottom