Nani kama Makonda?

Nani kama Makonda?

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,221
Reaction score
4,692
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
safi sana, kwa kweli anajitahidi kinondoni inachangamoto nyingi sana, huyu meya wa ukawa ndio mzigo tangu achaguliwe hamna la maana. lipo jinga lingine kubenea lenyewe kumsakama tu ila dawa ya lenyewe imeshachemka bado kulinywesha.
 
Baada ya kujua kwamba kuna watu wanalipwa kuwasifia hawa wanasiasa, nikiona mtu anasifia inabidi nikae zangu kimya tu.
 
Kwa anayofanya Kinondoni yanafuta ata makosa ya nyuma kama yapo. Wananchi wanatazama wanahesabu kila kitu, anayefanya kazi na anayepiga domo.
Huwezi kudhalilisha wazee ukasamehewa hata uzikiri uchi. Aombe msamaha haraka, asifikiri Magu ni sawa na Mzee wa Msoga ataonja wa chuya kesho tu na watu watamcheka
 
Baada ya kujua kwamba kuna watu wanalipwa kuwasifia hawa wanasiasa, nikiona mtu anasifia inabidi nikae zangu kimya tu.

Mkuu na wewe unalipwa kutukana? Tufanye kazi hakuna namna siasa za mteremko zama hizi ni ngumu. Kutegemea mdomo kama ndio nyenzo ya kisiasa kumeshapitwa na wakati mtabaki kulaumu watu wako busy na kazi.
 
Huwezi kudhalilisha wazee ukasamehewa hata uzikiri uchi. Aombe msamaha haraka, asifikiri Magu ni sawa na Mzee wa Msoga ataonja wa chuya kesho tu na watu watamcheka
Makonda na mzee Kigogo wapo poa na ni marafiki. Najua mlitamani wawe maadui ili mfurahi.
 
Makonda yeye aendelee lakini subiri ukawa ipewe jiji halafu tuone mashindano kati ya ukawa na kada wa ccm makonda nani mshindi, lakini mashondano yao ni neema kwetu wananchi, tunamtaka maghufuli awaambie watendaji wake kuwa wanachelewesha maendeleo ya dar
 
Ameonyesha uongozi kwa vitendo.. Ni mtendaji.

Ni mbunifu sana. Hasubiri maagizo ya wakubwa au kusukumwa muda wote anawaza ni namna gani anaibadilisha Kinondoni.

Sio mtu wa visingizio ni mtoa majawabu. Yale mambo ya bajeti haitoshi, mchakato unaendelea, tusubiri iki tusubirie kile. Kwake si vitu vya kuendekeza.

Kiukweli ana kutana na upinzani wa hali juu kutoka kwa wakawa na watu wa mlengo huo lakini hajawai kurudi nyuma.


Kinondoni kuna upungufu wa shule akaja na wazo la kujenga shule mpya 7 za kata kwa kudunduliza (kuna mpumbavu mmoja alikuja na hoja eti aonyeshwe mifuko ya cement ipo wapi eti anaiba cement)

Kinondoni kuna migogoro mingi ya ardhi, alikuja na system ya kusikiliza malalamiko yote ya ardhi na wengi sana wamenufaika na hii operation zimebaki kesi za kisheria ila amesuluisha mengi ( Sumaye ni shaidi kasaidiwa sana)

Amekuja na operation ya kucheki afya kwa wana kinondoni bure.

Amekuja na idea ya walimu kupanda mabasi bure ili kuwapunguzia mzigo wa maisha . Amekuja na hii idea sababu ndio kitu kilicho kwenye uwezo wake wa kimamlaka na kiushawishi.

Amekuja na idea ya kuondoa bar za vichochoroni kwenye majumba ya watu anashawishi kuwe na mtaa maalum wa kumbi za starehe. Hii itasaidia sana kuondoa kero zisizo za lazima kwa raia.

Na bado halali anawaza kila siku aifanyie nini Kinondoni.

Kiukweli kuna wanasiasa wazuri sana wa kupiga domo lakini vitendo ni sufuri. Wananchi sasa tunataka kuona watu wanaofanya kazi sio walalamikaji. Ata kama unafanya kidogo tunaappreciate kuliko kuhubiri unaleta pepo lakin ukipewa jimbo ni kulaumu serikali kuna mambo hayaitaji bajeti ya serikali ni uthubutu.


Mawaziri wa Magufuli mtazameni Makonda kwa makini wengi amewafunika japo mna rungu kubwa mnashindwa kulitumia . Tunataka vitendo vyenye tija.

Wabunge wa upinzani na madiwani msimchukulie Makonda kwa jicho hasi anazidi kuwapoteza. Fanyeni kazi tuone sio kulaumu tu.

Big up pia kwa Zitto naona nae ameanza siasa za utendaji. Kazi yake inaonekana Kigoma Ujijji.


Makonda tukimchukulia positive ana mengi ya kutufunza. Tunajua awezi kukosa mapungufu.
Nikweli kabisa anafaa kama hatafuti kick
 
Hard work pays. Kazi yake tu hakuna mtonyo wowote. Sio kila mtu analipwa kama nyinyi.
siamini muda wako wote huo umeumaliza bure kwa kumsifia mtu ambaye jamii kwa ujumla inamuona ni mtu wa majivuno yani ukuu wa wilaya kwake ufalme....
 
Makonda na mzee Kigogo wapo poa na ni marafiki. Najua mlitamani wawe maadui ili mfurahi.
Hukuona jana Dr Shein kaenda kumjulia hali Maalim Sifu? Hivi unadhani mambo ni sawa? Siasa ndivyo zilivyo. Lakini ndugu yangu usijiaminishe kama upo katika moyo wa mtendwa. Aidha usisahau kuwa Mzee Warioba ni kiongozi yeye anasamehe je wafuasi wake unadhani tumesahau? Mshauri bwa mdogo aombe hadharani msamaha
 
siamini muda wako wote huo umeumaliza bure kwa kumsifia mtu ambaye jamii kwa ujumla inamuona ni mtu wa majivuno yani ukuu wa wilaya kwake ufalme....

Nafikiri bado ujaijua vizuri picha ya Makonda now kwa wananchi. Nimeandika hii baada ya mjadala mzito hapa Kinondoni watu wanasema kawafunika mpaka mawaziri wa Magu. Wewe unalazimisha image unayotaka wewe. Kaa hivyo hivyo.
 
Mkuu na wewe unalipwa kutukana? Tufanye kazi hakuna namna siasa za mteremko zama hizi ni ngumu. Kutegemea mdomo kama ndio nyenzo ya kisiasa kumeshapitwa na wakati mtabaki kulaumu watu wako busy na kazi.

Kama wewe hasa uko bize na kazi gani kama si kusifia hata vitu vya hovyo kama hivi !!????
 
Makonda nilijua wa Madaladala.

Kumbe ni jina la mtu!
 
Back
Top Bottom