Nani kafanyia taifa makubwa kati ya awa?

Nani kafanyia taifa makubwa kati ya awa?

Ta Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,547
Reaction score
2,194
Dr remmy Ongara, Kanumba na Tx William Moshi? kwa upande wangu Dr remmy na Tx Moshi wamefanya makubwa kuliko Kanumba na wangefanyiwa kama Kanumba, maana sijaona cha ajabu alichofanya kuwazidi hawa jamaa! Serikali ina upendeleo! sijafuraishwa na ubaguzi wa Serikali. Remmy na Tx wametunga nyimbo nyingi za kufundisha na kuelimisha jamii ambazo zinasikilizwa na kila rika mpaka sasa, Je Kanumba kafanya nini mpaka Serikali kugharamia msiba wake na tena rais kuhairisha safari yake kisa Kanumba! kweli kuna mantiki? Tv zinashindwa kuonyesha matukio muhimu ya kitaifa na ya kujenga nchi, chakushangaza hata TBC wanakatisha bunge wanatuletea mazishi ya KANUMBA! kweli tanzania ni zaidi uijuavyo! Sipendi ifike atua niichukie Serikali. Ebu badilikeni jamani na fanyeni vitu vya Msingi, Watoto wanakaa chini, hospital hazina madawa, wafanyakazi wanalipwa mishahara midogo, umeme tabu hata kulipa IPTL ni shida then mnatumia Kodi za wananchi kuendeshea msiba wa KANUMBA! Au Serikali imelogwa? Bila marehem MZEE KIPARA nani angemjua KANUMBA. Mbona mzee kipara tena mwanzilishi wa maigizo hakufanyiwa hivyo?
 
Cheza na freemasonry wewe! Tanzania in zaidi ya uijuavvo!
 
serikali imeniboa mpaka basi! au ndo mambo ya freemasons at work?
 
Kila fani ina kinara wake na anayechukuliwa kama shujaa, ukitaka kuitendea haki hoja yako mlinganishe marehemu na waigizaji walotangulia mbele ya haki. Kumlinganisha na wasanii wa fani nyingine mizani inagoma. Achilia mbali mapungufu ya kibidamu the guy deserve the name "the great" kwa tz. Nani zaidi yake?
 
Kila fani ina kinara wake na anayechukuliwa kama shujaa, ukitaka kuitendea haki hoja yako mlinganishe marehemu na waigizaji walotangulia mbele ya haki. Kumlinganisha na wasanii wa fani nyingine mizani inagoma. Achilia mbali mapungufu ya kibidamu the guy deserve the name "the great" kwa tz. Nani zaidi yake?

kuna waanzilishi wa hii sana na hawajazikwa ivyo! mzee jongo?
 
Kanumba kafa na kidhibiti, kabinti under 18,

kwaiyo serikali inaharalisha? kwann wamfanyie ivyo vyote wakati kafa na kidhibiti? hapo ndo nama serikali n poyoyo! inaonyesha au inafundisha nn jamii? mheshimiwa na mama salma c ndo wanawatetea watoto wa shule? sasa wanaonyesha nn katika jamii!
 
umewataja remmy na moshi kwa mtazamo wako lakin wapo wanaomuona kanumba kama shujaa. Ofcoz kwa upande wa umaarufu kwa jamii nzima kanumba ni zaid ya hao uliowataja anajulikana kwa lika zote lakin nenda kakaulize kanafunzi ka darasa la pili kama kanamfahamu tx moshi au dr. Remmy.
 
Mi ndo nimeboreka kabisa, eti na tv ya taifa nayo inarusha matangazo ya msiba live. Jamani mi nshachoka na mambo ya hii nchi.
 
mwanzoni nilitaka nilete uzi wenye maudhui haya lakini nikaogopa 'madongo' ya watu wa bongo movie!
 
kwaiyo serikali inaharalisha? Kwann wamfanyie ivyo vyote wakati kafa na kidhibiti? Hapo ndo nama serikali n poyoyo! Inaonyesha au inafundisha nn jamii? Mheshimiwa na mama salma c ndo wanawatetea watoto wa shule? Sasa wanaonyesha nn katika jamii!

nyie hamjui kuwa kikwete ni potezapoteza...anataka watu wasahau matatizo aliyoyasababisha kwa udhaifu wake kiuongozi. Anatafuta coverage mpya. Bado haamini kuwa watz hawadanganyiki kirahisi hivyo.
 
Mtasema sana, lakini ndo keshapata state burial.

Kila mtu anazaliwa na nyota yake, Dr. Remy na Tx William hawawezi safiria nyota ya Kanumba.

Let the guy rest in peace!
 
Angalia watu walivyokuwa wengi?serikali iliwatoa majumbani mwao?serikali imejitokeza baada ya kuona jinsi Marehemu alivyokubalika na watu kujitokeza kwa wingi kiasi kile!Na serikali isingejitokeza ingeonekana ina wendawazimu!KAMA ALIKUBALIKA,ALIKUBALIKA 2!
 
umewataja remmy na moshi kwa mtazamo wako lakin wapo wanaomuona kanumba kama shujaa. Ofcoz kwa upande wa umaarufu kwa jamii nzima kanumba ni zaid ya hao uliowataja anajulikana kwa lika zote lakin nenda kakaulize kanafunzi ka darasa la pili kama kanamfahamu tx moshi au dr. Remmy.

Hivyo vyanafunzi si ndo alikuwa anavibaka! Kidhibiti ubaoni!
 
umewataja remmy na moshi kwa mtazamo wako lakin wapo wanaomuona kanumba kama shujaa. Ofcoz kwa upande wa umaarufu kwa jamii nzima kanumba ni zaid ya hao uliowataja anajulikana kwa lika zote lakin nenda kakaulize kanafunzi ka darasa la pili kama kanamfahamu tx moshi au dr. Remmy.

Sikatai umaarufu, nataka kujua kalifanyia nini taifa mpa azikwe kitaifa?
 
Back
Top Bottom