Ni ndani ya JF jaza nafasi zilizo wazi;
Bingwa wa kupigwa ban..... MS, bila shaka
Bingwa wa kushtaki..... Sijui, mi nashtaki mara moja moja ila sidhani kama ni bingwa, lol
Bingwa wa kuchangia pumba..... Bora nijitaje mwenyewe, sitaki lawama
Bingwa wa vichekesho..... Siku hizi nimecheka sana na Excellent (excellent jokes by the way)
Bingwa wa mikwara...... Simjui
Bingwa wa kuzodoa...... Kudozoa ndio nini?
Bingwa wa kuchangiwa ktk thread..... Well, Afrodenzi akitoa thread anahakikisha anafatilia, so I think ni yeye...
Bingwa wa kupotezewa ktk thread..... Sijui
Bingwa wa kukera..... Kuna mtu anapenda sana kuguna, nimemsahau jina mi ananikera kweli... lol
Bingwa wa ku pm .... Sijui...
Na mabingwa wa mengineyo unayo ya fahamu zaidi ya hayo juu......