Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Ishu sio kufunga magori tu , Dr Bruyne ana perform mechi kubwa na ndogo huku Salah yeye anaonea vi Watford. Hamna kama De Bruyne msimu huu
Wewe Umelewa Kweli!! Ameshawafunga Magoli Kwa Mguu Wake CHELSEA, ARSENAL, MAN CITY na SPURS halafu unasema anaonekana Kwa Watford tu??
Au Hujui Kama Ndani Ya Huu Msimu ambao Hata haujamalizika Ameshawafunga SPURS magoli 3, ARSENAL 2, MAN CITY 1 na CHELSEA 1????
Hakuna Mchezaji Hata mmoja Ndani Ya EPL aliyefanya Jeuri kama Hiyo...
Mkuu Kazi Yako Ni Kucheza Rede na si Soccer Kwahiyo Nakushauri Rudi Kwenye Kazi Yako Hapa Tuachie Wenyewe.