Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,348
- 26,145
Nani atahesabu kura za NDIYO na zile za HAPANA ili umma wa watanzania ujiridhishe kuwa Rasimu imepitishwa au imekwamishwa kwa akidi itakiwayo na Sheria? Hii lazima ijulikane mapema kwakuwa tangu kuanza kwa Mkutano wa Agosti,imesemwa kuwa akidi ya kupitisha Rasimu haijatosha. Tunataka kujua kama imetosha na imepatikana kweli kikura.
Watanzania wangependa kujua mhusika mkuu wa upigaji na uhesabu wa kura...
Watanzania wangependa kujua mhusika mkuu wa upigaji na uhesabu wa kura...