julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Huko kwenu huwa inawezekana?jioe mwenyewe
Hamtaniita lover boy au kuniona nami ni sehemu ya mapungufu, maana jamii lazima uiheshimu?Temana nao tafuta sample nyingine hapo hamna sample unayoitaka ndio mana unajiuliza
huoni kama ntashindwa kufurahia tendo la ndoa, nitakuwa siwezi kumuandaa kabla ya tendo kwa sababu ya harufu mbaya hivyo ntalidhisha nafsi yangu tu na kumuingilia mtu bila kumuandaa hakuna tofauti na kumbaka!moe huyo wa wasitani..........
Vipi tukipata dharura tukalala Hotelini au tukasafiri na kuwa wageni wa jamaa au rafiki wa karibu tukalala huko au yeye akapata dharura na kwenda kulala kwa ndugu au jamaa/rafiki inakuwaje sasa? huoni hiyo wasiwasi itanisababishia madhara kisaikolojia na kupunguza radha ya ndoa?Oa kikojozi halafu andaa bajeti ya pampasi. Tatizo lake litakuwa ni siri yako ya ndani, lakini hao wengine matatizo yao hayafichiki.
Nina mahusiano na wasichana watatu wenyesifa zifuatazo:-
WA KWANZA
. Mpole, anaweza kazi zote (kitandani na nyumbani), mzuri wa muonekano, busara na heshima ila anakojoa kitandani
WA PILI
.Mapepe, mvivu wa kitandani ila kazi za nyumbani anaweza, mzuri wa sura, ana dharau kwa watu wengine wakiwemo ndugu zangu,msafi ila muongo na anapenda kusifiwa.
WA TATU
.Mcheshi, msafi wa mwili, ana tabia nzuri,ni wa wasitani katika kazi zote, mzuri wa muonekano ila ananuka mudomo na kikwapa hata apige mswaki na kuoga vipi!
Ushauri wako ni muhimu sana!
kwani wewe ulitaka umuoe yupi?[/QUOT]
Kila mmoja kwangu ana nafasi ila changamoto ni mapungufu! na maanisha ninge weza oa yeyote ila tatizo ni mapungufu, yapi sasa yanavumilika?
huoni kama ntashindwa kufurahia tendo la ndoa, nitakuwa siwezi kumuandaa kabla ya tendo kwa sababu ya harufu mbaya hivyo ntalidhisha nafsi yangu tu na kumuingilia mtu bila kumuandaa hakuna tofauti na kumbaka!
Hamtaniita lover boy au kuniona nami ni sehemu ya mapungufu, maana jamii lazima uiheshimu?
Naomba tabibu wa tatizo hilo anapatikana wapi? tumetumia gharama sana lakini bado hadi naogopa kuibiwa tena pesa!hapo hamna unayempenda hata mmoja, ungependa kutoka moyoni usingeuliza, ukimpenda mtu kama ana tatizo unamsaidia kutafuta ufumbuzi ili uendelee kuwa nae. so acha kuwapotezea muda. by the way, tatizo la kukojoa kitandani linatibika, acha kuwa mbinafsi mtafutie ufumbuzi wa hilo tatizo.
Nina mahusiano na wasichana watatu wenyesifa zifuatazo:-
WA KWANZA
. Mpole, anaweza kazi zote (kitandani na nyumbani), mzuri wa muonekano, busara na heshima ila anakojoa kitandani
WA PILI
.Mapepe, mvivu wa kitandani ila kazi za nyumbani anaweza, mzuri wa sura, ana dharau kwa watu wengine wakiwemo ndugu zangu,msafi ila muongo na anapenda kusifiwa.
WA TATU
.Mcheshi, msafi wa mwili, ana tabia nzuri,ni wa wasitani katika kazi zote, mzuri wa muonekano ila ananuka mudomo na kikwapa hata apige mswaki na kuoga vipi!
Ushauri wako ni muhimu sana!
kwani hao watatu hao hukuwaza ya kuitwa lover boy