We mademe B umenfurahishaZichange, zikijaa nitafute.
Mjini Pesa,
Nguvu na Uzuri peleka kijijini kwenu.
Duh. Mbona makavu live Madame?
50cent rapa maarufu wa marekani akihojiwa alisema: sikuhizi msichana akikwambia wewe ni sexy, uwa ana maanisha wewe una pesa, wewe ni maarufu, wewe una majumba na magari. Kama huna pesa you are not sexy
We mademe B umenfurahisha
Ukiwa huna pesa,utaonekana wewe si mtanashata,wewe huna upendo mana hata uwezo wa kununu zawadi huna,na kasoro kibao zitatajwa mara mweusi mno,mara mshamba,mara mbabu,mara mtoto,mara mfupi nk.
LAKINI PESA INAONEKANA NDIO HANDSOME KULIKO MAHANDSOME WOTE,with money,utaitwa mtanashati,unajua kujali,zawadi zote hazitashindikana,wala hautasikia ukiambiwa wewe mweusi mno,mfupi mno NK.
eti"hata kama mweusi" ivi weusi ni majanga kiasi hicho we mtoa mada? Kwa taarifa yako wanaume sexy ni weusi. Naongea km mwanamke
Ona sasa kukosa hela huku,sasa naitwa bwana mdogo,ngoja zijae,majina yote mazuri nitaitwa mimi,handsome,mheshimiwa,bosi nk.
Nini handsome, nitakuita hata Baby ilhali umri wako na Kingunge mmepishana siku 5.
Lol!kwa staili hii biashara ya sembe itadumu,si ajabu hata tembo wetu kuzidi kuwa mashakani!
Hapo ndo patamu,ndo mana bongo wanasema uzee mwisho chalinze.
Lol!kwa staili hii biashara ya sembe itadumu,si ajabu hata tembo wetu kuzidi kuwa mashakani!