Nani anayejua mganga mkali ?

Nani anayejua mganga mkali ?

Thugga

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
11
Reaction score
2
nataka mganga mkali ,yani babangu anamihela lakini yuafira na malaya ata hataki kuniona :'(
 
KUNA MGANGA WA DODOMA KAMFUFUA mtoto huko kibamba.
mpigie shigongo anaweza kukusaidia maana magazeti yake yameandika hii habari
 
soma magazeti ya mlokole Shigongo yana matangazo ya waganga wa kila aina.
 
nataka mganga mkali ,yani babangu anamihela lakini yuafira na malaya ata hataki kuniona :'(

Nipe hela nikupeleke kwa mganga hapo zambia mzee wako atakumilikisha mali zote na document zote za muhimu atakupatia tena kwa maandishi!
 
Mganga mkali na mpole unamtambuaje?
Acha ujinga, utafte na wewe zako uwafi....kama babako
 
kuna mganga huyo nuksi
yaani huyo mzee wako tunampa ugonjwa wa kucheka yaani kila kila kitu acheke tu
 
Kuna yule wa ccm anatembea na fisi ni kiboko, mwone akutatulie shida zako
 
Nipe hela nikupeleke kwa mganga hapo zambia mzee wako atakumilikisha mali zote na document zote za muhimu atakupatia tena kwa maandishi!

mganga mwenyewe yuaitisha hela kama ngapi ivo bro?
 
Back
Top Bottom