Nani anayeisoma namba kwa sasa?

Nani anayeisoma namba kwa sasa?

kama ulishidwa kutengeneza pesa za magendo na kuiba ulipokuwa serikalin ktk awamu zilizopita kwa kipindi hiki cha kubana matumizi dah utasubili sana kutekeleza maendereo ukitegemea mshahara wako
 

UKAWA ndio wanaoisoma namba..Raisi wao wa UKAWA kila siku alikuwa anaishi katika ndege na msafara kibao…Upendeleo ulikuwa ndio mfumo wa UKAWA…matusi na dharau zilikuwa ndio tabia yao..Naipongeza CCM kwa kuitoa madarakani serikali dhalimu ya UKAWA…Viva CCM

He!!! Kazi ipo
 

UKAWA ndio wanaoisoma namba..Raisi wao wa UKAWA kila siku alikuwa anaishi katika ndege na msafara kibao?Upendeleo ulikuwa ndio mfumo wa UKAWA?matusi na dharau zilikuwa ndio tabia yao..Naipongeza CCM kwa kuitoa madarakani serikali dhalimu ya UKAWA?Viva CCM

Tangu aanze umeshaona kiongozi yeyote wa UKAWA kafikwa na upepo wa Magufuli. Msipojipanga mtapangwa tuu. Hii ni Tanzania ya Magufuli sio ya CCM tena Magufuli ni sawa na Tsunami ikipita haichagui cha kubeba. Bado wale mliopo madarakani na kazini kwa kurithishwa mtajuta rudini vijijini kwenu mkalime kabla hizi mvua hazijaisha. Mnajifanya kila kitu mnakimbilia sheria na vifungu vyake mtaviainisha A-Z ila mtanyooka tuuu. Wanyonge walilia na Mungu kaona Magufuli ndio Musa amtume akawakomboe wana wa israel.
 
Walioanza kuisoma namba; Viongozi wazembe waliopewa vyeo pasipo weledi na sifa,Wapiga dili hasa ndugu,jamaa na marafiki wa Viongozi ambao tenda kama za Tshirts za Maadhimisho,tracksuit za haraiki,vyakula vya sherehe na maadhimisho,PA za sherehe husika,Posho za Vikundi vya burudani,Vyombo vya usafiri,Watu wa Mapambo,Wasanii mbalimbai,Wanufaika na 10%,Wazamiaji wa sherehe hizo,wapambe wa uongo na ukweli n.k!!Nina uhakika hata yule kijana wa Jinga Kubwa aliyejirekodi akibwabwaja pamoja na familia nzima sasa wanaisoma namba kinyumenyume. NB:Wengi watalia na kusaga MENO!!..Ndio kwanza jua limechomoza na ilani za Upinzani ndio zimeshika hatamu!!No kubebana anymore!!
 
Awo walio mshangilia ndio wanaisoma number maana tegemeo lao na matumaini yako kwamba mh magufuri maneno yale kwa ajili ya kampeni tu kumbe balaa wote apo walipo wanatamani siku zirudishwe nyuma
 
Hahahaaa! Ule mdundo wao kwa sasa wanaucheza huku wameficha nyuso zao: tumempenda wenyewe" chaguo letu wenyewe"acha tuisome namba ee magufuli mbele kwa mbele""
 
Hahahaaa! Ule mdundo wao kwa sasa wanaucheza huku wameficha nyuso zao: tumempenda wenyewe" chaguo letu wenyewe"acha tuisome namba ee magufuli mbele kwa mbele""
Haki ya Mungu Bulembo ni kama kaihama Nchi. Asikiki kabisa. Na Jembe magufuli linalima kotekote. Kwani ameshasema hana hakika kuwa wana ccm si wala rushwa.
 
Ndio maana Magufuli Kwenye Kampeni yake alikuwa anasema Chagua Magufuli. Na kwa kauli yake ya kusema Viongozi wanasafiri Europe kuliko wanavyokwenda kwa wazazi wao hilo ni dhahiri wanayoisoma no kwa sasa ni CCM.
 
Back
Top Bottom