Kurutamjanja
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 396
- 377
Siku Chache zilizopita mitaani kulikuwa na kelele za nyimbo Wacha Waisome namba eee, nyimbo hizi zilikuwa zinachagiza katika kampeni za chama tawala. Na kweli kwenye uchaguzi CCM imeshinda tutake tusitake. Sasa suala linakuja katika Utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli na kwa hotuba zake, hapa nani anayeisoma namba kwa sasa? Je ni wapinzani au watendaji wa Serikali ya CCM?
Nawasilisha
Nawasilisha