Nani anayeidai marekani?

China is the Largest owner of US treasures.To the end of June 2011 china has Foreign exchange reserve US $ 3.2 Trillion, In July 2011 China had US treasures US $ 1.16 Trillion. hii ni kusema kwamba China US debt holding increased to US $ 7.3 billion.
 
Wa kwanza ni CHINA

Wanaoongoza ni securities na trustee mbalimbali za marekani, kama huku kwetu serikali inavyokopa/kuchukua NSSF, PPF, GEPF, LAPF etc... China yeye ni wa pili. Lakini kwa mdororo huu wa uchumi wa EU na US, muda si mrefu China ataongoza, kwani huwezi kuendelea kukopa 'ndani' kuna limitations zake kwa swala zima la ukuaji wa uchumi wa nchi....
 
hapa ndipo ninapochoka yaani jamaa wanadaiwa halafu wanajidai ni vinara wa kutoa misaada huku wakitoa na matangazo kabisa
 
thanx mkuu,uko sahihi na naungana na ww
Wanaoongoza ni securities na trustee mbalimbali za marekani, kama huku kwetu serikali inavyokopa/kuchukua NSSF, PPF, GEPF, LAPF etc... China yeye ni wa pili. Lakini kwa mdororo huu wa uchumi wa EU na US, muda si mrefu China ataongoza, kwani huwezi kuendelea kukopa 'ndani' kuna limitations zake kwa swala zima la ukuaji wa uchumi wa nchi....
 
China is the Largest owner of US treasures.To the end of June 2011 china has Foreign exchange reserve US $ 3.2 Trillion, In July 2011 China had US treasures US $ 1.16 Trillion. hii ni kusema kwamba China US debt holding increased to US $ 7.3 billion.

I always say...Never lend money to someone that you have no way of getting it back if the other party choose not to pay.
The US could destroy the entire chinese economy by simply stop payment that loan.
 
I always say...Never lend money to someone that you have no way of getting it back if the other party choose not to pay.
The US could destroy the entire chinese economy by simply stop payment that loan.

Chinese Government are no longer entertaining this shit any more!
They only need like 300~ 600 billions as foreign exchange reserve which can meet the requirement for 3 months of International trade.Kwahivyo sidhani kama watahitaji kununua tena treasury bonds za wamarekani tena.Kwajeuri na nguvu waliyonayo mbona hawana hofu.
 
Wanaoongoza ni securities na trustee mbalimbali za marekani, kama huku kwetu serikali inavyokopa/kuchukua NSSF, PPF, GEPF, LAPF etc... China yeye ni wa pili. Lakini kwa mdororo huu wa uchumi wa EU na US, muda si mrefu China ataongoza, kwani huwezi kuendelea kukopa 'ndani' kuna limitations zake kwa swala zima la ukuaji wa uchumi wa nchi....

Safi sana..You are Material Man.!!!, Unajua jinsi ya kutumia keyboard yako vema..Ahsante Mkuu.
 
Back
Top Bottom