Nani anaweza kusimama na kuyapinga maneno ya Tundu Lissu yote aliyoyaongea kuhusu serikali

Lissu atoe Kwanza undugunaization Chagadema kwanza ndo aje na swaga zake za kipimbi.
Je? waliopewa nafasi hazina na Magufuli si wataalam wa mambo ya fedha?
Hawajakizi vigezo?
Ni nani walistahili nafasi hizo?

Trump nae ni mkabila? Kwa kumpa nafasi mkwewe?
Ndo maana swagga za Tundu Lissu zimepuuzwa na Kila mtanzania mwenye akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kimoja nilichojifunza kwa ccm ni kwamba imekuwa dhambi kubwa sana tena ya kupaswa kupigwa na mawe hadi kufa ikiwa utaenda kinyume na rais. Mnasahau kwamba yeye ni mwanadamu na anayo mapungufu. Acheni kujitoa ufahamu ilhali ukweli mnaujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji

Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
Mkuu ulisikiliza ile clip ya Lisu? Ulimsikia akiwataja hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulisikiliza ile clip ya Lisu? Ulimsikia akiwataja hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu alisema Magu ni mbaguzi wa kikabila na kikanda, hiyo ndio top cream ya serikali.


Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji

Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
 
Lissu alisema Magu ni mbaguzi wa kikabila na kikanda, hiyo ndio top cream ya serikali.


Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji

Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
Aliwataja hao? Nenda katafute video uiangalie halafu ndo uje hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliwataja hao? Nenda katafute video uiangalie halafu ndo uje hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio top ya serikali, ni nani yupo juu ya hawa ?
Za kuambiwa changanya na zako.


Makamu wa Rais - Zenje
Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - Dodoma
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji

Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
 
Tundu Lissu ni mwanaharakti mzuri lakini kwa tamko la juzi amekosea sana kwani watu wa kanda ya ziwa kuwa serikalini ni kosa. Mbona viongozi waandamizi wa Chadema wanatoka kaskazini.
 
Nani anaweza kusimama na kuyapinga maneno ya Tundu Lissu yote aliyoyaongea kuhusu serikali juzi haswa lile la kuteua viongozi serikalini kikanda......!

Hadi sasa wanaojitahidi kuipinga kauli za Lissu juzi hawajamjibu wala kuonyesha uongo wa kauli zake zaidi wanatoa maneno ya kusutana kama wanawake wa uswahilini, msemaji wa serikali hajamjibu kisomi na wakala wao Zitto Kabwe nae amaengukia humo humo kujibu kwa kusuta badala ya hoja.

Lissu ajibiwe kwa hoja siyo vijembe.

Mimi naamini katika maneno yote aliyoyasema Lissu.
Well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa lakini tunachotaka ni mabadiliko hasa ya kiuchumi. Ampinge Raisi huku akiangalia pande zote za shilingi (uzuri na ubaya). Mbona anasema mabaya tu? Haoni mabadiliko? Ofisi za serikali unahudumiwa sio kama zamani, rushwa imepungua, na mengine mengi. Kuna mtu JamiiForums anashangaa kuona maji yanatoka kutwa nzima sehemu waliyokua wanahemea maji. Kwa ujumla anawajali wanyonge. Hata kama ni wewe ungeweka watu wanaoweza kwenda sawa nawe kwa uadilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Mbwiga kuna unafuu wowote wa maisha kwa wananchi wa kawaida toka Sosinje achukue nchi?Njoo na fact acha kumbwelambwela!
 
Sawa lakini tunachotaka ni mabadiliko hasa ya kiuchumi. Ampinge Raisi huku akiangalia pande zote za shilingi (uzuri na ubaya). Mbona anasema mabaya tu? Haoni mabadiliko? Ofisi za serikali unahudumiwa sio kama zamani, rushwa imepungua, na mengine mengi. Kuna mtu JamiiForums anashangaa kuona maji yanatoka kutwa nzima sehemu waliyokua wanahemea maji. Kwa ujumla anawajali wanyonge. Hata kama ni wewe ungeweka watu wanaoweza kwenda sawa nawe kwa uadilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini tunachotaka ni mabadiliko hasa ya kiuchumi. Ampinge Raisi huku akiangalia pande zote za shilingi (uzuri na ubaya). Mbona anasema mabaya tu? Haoni mabadiliko? Ofisi za serikali unahudumiwa sio kama zamani, rushwa imepungua, na mengine mengi. Kuna mtu JamiiForums anashangaa kuona maji yanatoka kutwa nzima sehemu waliyokua wanahemea maji. Kwa ujumla anawajali wanyonge. Hata kama ni wewe ungeweka watu wanaoweza kwenda sawa nawe kwa uadilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulipoichagua serikali uliichagua ili ikafanye mambo mabaya? Wao so walijinadi kwenda kutuletea maendeleo na kamwe hawakuwahi kusema wataenda kudunisha maendeleo!! Sasa kuna ubaya gani pale waliposhindwa kuleta maendeleo kuwasema? Unataka wapongezwe kwa kutimiza wajibu wao ambao wao walituahidi kwenye kampeni zao na tukaingia nao mkataba wa kutuletea hayo maendeleo na hatutarajii washindwe kuyaleta hayo maendeleo na ikitokea wameshindwa hata kama in kipengele kimoja wanakuwa wamevunja mktaba wetu na hivyo lazima tuwaseme na uchaguzi ukifika in kuachana nao.
 
Laiti kama Lissu angekuwa na hoja nzito yenye maslahi mapana kwa taifa tungemwelewa lakini bahati mbaya kazungumzia vitu vidogo sana ambavyo havionekani kuwa na impact hasi kwa taifa bali kwa yeye kuviibua anaincite chuki taifani pasipo sababu yoyote na huo ndio uchochezi anaodaiwa nao (msikilize kuelewa zaidi).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAREHEMU TMOTHY OPYO KATIBU MKUU KONGOZI-NYERERE
CHARLES NYIRABU-GAVANA WA NYERERE
UKOO WA BOMAN WOTE -NYERERE
ALLY MASOUD MASWANYA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI--NYERERE
IGP. PUNDUGU-NYERERE
SIR. GEORGE KAHAMA WIZARA NYINGI-NYERERE
GEN. MUSUGURI - NYERERE
GEN. KYARO-MWNYI
GEN. WATARA-JK
MASAJU -JK
WEREMA -JK
CHENGE-JK
PROF. SARUNGI WAZIRI WA ULINZI-MWNYI
MAREHEMU ERNEST NYANDA WAZIRI MAMBO YA NDANI-MWNYI
MREHEMU JOHN MGEJA NABU WAZIRI MAMBO YA NDANI-MWNYI

ALL FROM WESTERN ZONE MAGUFULI ALIKUWEPO??? WAPUMBAVU NYIE MNAOTULAZIMISHA TUKUBALI UPUMBAVU WENU ???? ILHALI UKWELI MNAUJUA KAMA HAMFAHAMU HISTORIA YA TZ ULIZEN MUAMBWE KWA UFUPI NI KWAMBA KANDA YA ZIWA NI KUBWA NA INA WATU MAHIRI KWA KILA FANI HUWEZI KUIKWEPA KAMA MNAVYODANGANYANA HUKO SIYO KAMA WALE WANAUME WA RUFIJI, KIBITI NA MKURANGA WANAOPIGIWA SIMU WATU WANAKUJA KUKUUWA ANAWASUBIRI NA ANACHINJWA KAMA KUKU MBELE YA MKEWE NAYE ANAANGALIA TU KAMA SINEMA. WAAMBENI HAO MBWAKOKO WA RUFIJI KIBITI NA MKURANGA WACHEZEE KANDA YA ZIWA UONE KAMA ATABAKI MTU KWA SIFA HIYO NDYO MAANA KANDA YA ZIWA SIYO YA KUCHEZEA. YULE MWANAMKE aliyewanyang'anya majambazi SMG na kuwauwa alitoka kanda ya ziwa angalia mabadiliko ya uongozi wa jeshi la polisi ndani ya mwezi mmoja tu nini kimewapata wauaji wa rufiji mkuranga na Kibiti na idadi kubwa wameangamizwa kanda ya ziwa mwambieni Fala wenu Tundu Kanda ya ziwa hatutaki upuuzi.
Ujinga wa PhD kuandika kwa herufi kubwa halafu upuuzi mtupu
Ndo hapo utakapoona upumbavu wake kesi ikienda mahakamani. Aibu yako

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani anaweza kusimama na kuyapinga maneno ya Tundu Lissu yote aliyoyaongea kuhusu serikali juzi haswa lile la kuteua viongozi serikalini kikanda......!

Hadi sasa wanaojitahidi kuipinga kauli za Lissu juzi hawajamjibu wala kuonyesha uongo wa kauli zake zaidi wanatoa maneno ya kusutana kama wanawake wa uswahilini, msemaji wa serikali hajamjibu kisomi na wakala wao Zitto Kabwe nae amaengukia humo humo kujibu kwa kusuta badala ya hoja.

Lissu ajibiwe kwa hoja siyo vijembe.

Mimi naamini katika maneno yote aliyoyasema Lissu.
Mimi naamini TL ameshindwa kuleta tathmini za kisayansi kuthibitisha hoja yake. Ningefurahi kama angetupa taarifa muhimu kama
1. Mpaka leo Mh. Baba Jesca amefanya teuzi ngazi?
2.kuna kanda ngapi
3. Hao watu wa kabila lake ni % ya watanzania


Anyway nisiseme mengi hebu angalia hapa
1. Mawaziri
2. Manaibu mawaziri
3. Makatibu Wakuu
4. Mabalozi
5. Wakuu wa Mikoa
6. Wakuu wa Mikoa
7. Wakurugenzi wa Mikoa
8. Wakurugenzi wa Wilaya
9. Wenyeviti wa Bodi mbalimbal.
10. Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali
11. Wakuu wa asasi,idara na mashirika ya umma
12. Wabunge wa kuteuliwa
13. Tume mbalimbali


Kifupi sio ajabu kugundua kuwa kuna nafasi zaidi ya 500 ambazo zinateuliwa na Raisi. Si haki kwa mwanasiasa kuhitimisha bila takwimu hao watu tajwa (sijui watu 7) ni asilimia ngapi ya teuzi zote
Kikubwa ni kwamba teuzi zinaongozwa na
Sheria/katiba
Sifa Uwezo weledi
Maono na mtazamo kati ya mteule na mteuliwa
Utashi na utayari wa mteuliwa
Kufahamika kwa mteuliwa
Utashi mteuaji
Dhana ya kuweka uwiano.

Ukiangalia yote bayo utahukumu kwa haki
Tuache siasa
 
Back
Top Bottom