Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,554
- 10,327
Moja kwa moja kwenye mada
Mara kadhaa nimeona mtandaoni kocha na wachezaji wa Nsingizin wakisema eti wanajua Simba atajiangusha na kujilaza sana pale kwa mkapa ili kupoteza muda pale kwa mkapa.
Sasa najiuliza, nani anaewadanganya hawa ndugu zetu kuwa Simba anacheza kwa kujiangusha??
Au ndugu zetu hawana video analysist!?
Wakati huo huo, kwenye uwanja wa mazoezi, kocha wa simba, mtalaamu Pantev anasisitiza ONE TOUCH, PASS THE BALL.
Hawa jamaa wasije wwkatapika damu wakatuchafulia uwanja wetu.
Na kocha alishasema, kule ugenini tulipata matokeo mazuri, lakini hakufurahishwa na kiwango cha uchezaji wa timu yake.
Uzi tayari
Mara kadhaa nimeona mtandaoni kocha na wachezaji wa Nsingizin wakisema eti wanajua Simba atajiangusha na kujilaza sana pale kwa mkapa ili kupoteza muda pale kwa mkapa.
Sasa najiuliza, nani anaewadanganya hawa ndugu zetu kuwa Simba anacheza kwa kujiangusha??
Au ndugu zetu hawana video analysist!?
Wakati huo huo, kwenye uwanja wa mazoezi, kocha wa simba, mtalaamu Pantev anasisitiza ONE TOUCH, PASS THE BALL.
Hawa jamaa wasije wwkatapika damu wakatuchafulia uwanja wetu.
Na kocha alishasema, kule ugenini tulipata matokeo mazuri, lakini hakufurahishwa na kiwango cha uchezaji wa timu yake.
Uzi tayari