Mauaji ya wapinzani kila kukicha.., Raisi kakaa kimya.., Wabunge wa ccm wanaendelea na shughuli kama kawaida.., hakuna mwenye mamlaka anayejali..!
Na hawa wote wameapa kuwatumikia watanzania .., wameapa kulinda maisha na Uhuru wa kujieleza wa watanzania wote bila ubaguzi wa dini wala vyama..
Cha ajabu, wana ccm wanaochochea chuki, ubaguzi, mauaji, wanaotumia pesa zetu kununua madiwani na wabunge ndio wanaopandishwa vyeo haraka...
Yote haya yanatendeka Tanzania ile ya Nyerere.., maraisi wetu wote wako kimyaaaa..., haya hayawahusu..!
Ni nani auawe.., au ni watu idadi gani wauawe ndio nyie wazee wa nchi hii mshtuke na kumkemea huyu mtu mwenye kiu ya damu ya watanzania...?!