nani anatakiwa kusema asante

nani anatakiwa kusema asante

mashakaDaima

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
38
Reaction score
5
Hiv baada ya sex ni nani ambaye anatakiwa kumshukuru mwenzake kwa tendo. Mi nadhani wote wanatakiwa kushukuru
 
Hiv baada ya sex ni nani ambaye anatakiwa kumshukuru mwenzake kwa tendo. Mi nadhani wote wanatakiwa kushukuru

Inategemea km -me umemfanyia mwenzi wako vizuri basi atakushukuru kwa kukupatia offer another day, ila -me ndie anaetakiwa kushukuru

source: mm mwenyewe huwa na ulazima wa kushukuru badala ya yeye kunishukuru
 
aiseeeee babaangu mbona makubwa haya mimi huwa nakurupuka 2 baada ya kumaliza natauta shupa ya mbege nakata kiu
 
Uzoefu mke anasemaga asante, me cjui kwann wanakuaga wepesi kushukuru wakiti mwanaume ndo mara nyingi hushawishi kufanya hii kitu! Prngine wanafurahia zaidi yetu eeeeh? mara nyingine unamkunja kama kambale mbichi hadi unaogopa atakuchukia lakini mwisho wa mateso yote hayo anakushukuru na cku nyingine anakua tayar kurudia!

ha ha hii mambo ya ajabu sana na haina mfumo maalum,!
 
yes ur ryt ndachuwa.Mwanamke anatakiwa kutoa pole then mwanaume anatakiwa kushukuru kwa tendo.
 
...hii ndo raha ya maujanja..kuthaminiana, asente ni heshima kwa kazi nzito ilokuwa ikiendelea..mi nawasiwasi humu JF wapo wasiosema asante (-me/ke) baada ya kufika ...leleni? haya ni mambo madogo madogo yanayoongeza ladha/furaha ya tukio: just assess yourself what do you usually tell your partner
 
kila mmoja anapaswa kumshkuru mwenzake. na kuhusu swali lilioongezwa kqamba nani atoe pesa mi nafikiri mwanaume ndiye anaypaswa kutoa ksbb yeye ndiye mchokoza mada.
 
kila mmoja anapaswa kumshkuru mwenzake. na kuhusu swali lilioongezwa kqamba nani atoe pesa mi nafikiri mwanaume ndiye anaypaswa kutoa ksbb yeye ndiye mchokoza mada.
Vipi kama amechokozwa yeye?
 
Back
Top Bottom