FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
no huyo mwanamke inabidi abadilike kidogo bwana hata kama atashindwa kujiweka update angalau 50/50
kama ulivyosema kipindi kile kiasi mambo hayakuwa fresh na sasa yako Fresh
Na kizuri zaidi unampenda mkeo ..hebu mwambie huyo mkeo aje kwangu nimfundishe kwanza nikianza mavazi nimeshawaambia i love fashion na kwa umri wake kuna fashion zitakazomfanya awe classic
second ..mtizamo na maongezi nitamshauri aachane na magruop ya umbea na abadilishe mtizamo wake
mbona hiyo imetulia sana asijiwekeweke nyuma mwisho ujiopolee kipima joto kingine
kama ulivyosema kipindi kile kiasi mambo hayakuwa fresh na sasa yako Fresh
Na kizuri zaidi unampenda mkeo ..hebu mwambie huyo mkeo aje kwangu nimfundishe kwanza nikianza mavazi nimeshawaambia i love fashion na kwa umri wake kuna fashion zitakazomfanya awe classic
second ..mtizamo na maongezi nitamshauri aachane na magruop ya umbea na abadilishe mtizamo wake
mbona hiyo imetulia sana asijiwekeweke nyuma mwisho ujiopolee kipima joto kingine